Waheshimiwa kabisa, hii tabia inatukera wananchi.

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,327
24,194
Nipo barabara ya Msata Bagamoyo, na magari yote yamesimamishwa.

Kisa?

Kuna mheshimiwa kabisa atapita barabara hii, na inaelekea wananchi wa 3rd Class nchi hii tumpishe ili awe peke yake barabarani.

Hii inakera sana.
Mi ndo natoka Bariadi toka asubuhi saa 11, na nina watoto garini na mmoja ana matatizo ya kiafya.
 
Mambo hayo mbona kawaida tu bageshi!!!! Shida kubwa watu wa usalama bado wanatumia Security protocol za kizamani!! Za enzi ya Baba wa Taifa!!! Inabidi wabadilike nchi hii sasa inakimbia!!! Kuwasimamisha watu barabarani kwa masaa kadhaa eti ili kumpisha Rais Mstaaaf ni kuihujumu nchi kiuchumi!!! Watu wapo barabarani kwa shughuli maalum na nyingi ni za kimaendeleo!! Nadhani umefika wakati sasa wazee wa TISS wazipitie upya protocol zao ili zisiwe shida kwa wananchi kama akina Jidula Mabambasi na wengine kama mimi Mkoromije.
 
Mambo hayo mbona kawaida tu bageshi!!!! Shida kubwa watu wa usalama bado wanatumia Security protocol za kizamani!! Za enzi ya Baba wa Taifa!!! Inabidi wabadilike nchi hii sasa inakimbia!!! Kuwasimamisha watu barabarani kwa masaa kadhaa eti ili kumpisha Rais Mstaaaf ni kuihujumu nchi kiuchumi!!! Watu wapo barabarani kwa shughuli maalum na nyingi ni za kimaendeleo!! Nadhani umefika wakati sasa wazee wa TISS wazipitie upya protocol zao ili zisiwe shida kwa wananchi kama akina Jidula Mabambasi na wengine kama mimi Mkoromije.
Kwa kweli hata hatukujua nani anapita ingawaje hisia zilikuwa kwa mzee wa Msoga.

Hii kukera wananchi kwa KUFUNGA barabara, tena usiku ni kero kubwa.

Inabidi hawa wakubwa kabisa kweli watumie helikopta au kama ni barabara wasizifunge.
Kwani kuna hatari gani kwa yeyote mstaafu.

This is carrying personal security to the expense ya wananchi.
 
Mambo hayo mbona kawaida tu bageshi!!!! Shida kubwa watu wa usalama bado wanatumia Security protocol za kizamani!! Za enzi ya Baba wa Taifa!!! Inabidi wabadilike nchi hii sasa inakimbia!!! Kuwasimamisha watu barabarani kwa masaa kadhaa eti ili kumpisha Rais Mstaaaf ni kuihujumu nchi kiuchumi!!! Watu wapo barabarani kwa shughuli maalum na nyingi ni za kimaendeleo!! Nadhani umefika wakati sasa wazee wa TISS wazipitie upya protocol zao ili zisiwe shida kwa wananchi kama akina Jidula Mabambasi na wengine kama mimi Mkoromije.
Habari ziwafikie ....wakubwa wote!
 
Msafara waziri mkuu wa uingereza
Inst-image-2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo barabara ya Msata Bagamoyo, na magari yote yamesimamishwa.

Kisa?

Kuna mheshimiwa kabisa atapita barabara hii, na inaelekea wananchi wa 3rd Class nchi hii tumpishe ili awe peke yake barabarani.

Hii inakera sana.
Mi ndo natoka Bariadi toka asubuhi saa 11, na nina watoto garini na mmoja ana matatizo ya kiafya.

Taarifa ya maamuzi ya Kikokotoo unayo lakini? Nisalimie sana Dkt. Irene Isaka yule wa SSRA mwambie Shikamoo mno!
 
Huu ni msafara wa rais wa ufaransa View attachment 980056

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano mzuri sana wa barabara zilizotengenezwa kwa kodi za wananchi wenyewe.

Idara zetu za usalama zitumie style hii, unless kuna known and obvious risk kwa mheshimiwa yeyote.
Kuwaachia polisi wasio navweledi wabusalama na kufunga barabara for hours inatuweka wananchi katika position ya 3rd class citizens
 
kuanzia gari za jwtz, polisi na waheshimiwa wote hapa jijini wanatakiwa wapigwe na foleni kama sie wananchi wa kawaida

Ambulance ya wagonjwa pekee ipewe nafasi ya kuwahisha wangonjwa hospital

ni aibu kwa nchi eti makonda naeanatupiga msimamishe kwa nusu saa barabarani
 
kuanzia gari za jwtz, polisi na waheshimiwa wote hapa jijini wanatakiwa wapigwe na foleni kama sie wananchi wa kawaida

Ambulance ya wagonjwa pekee ipewe nafasi ya kuwahisha wangonjwa hospital

ni aibu kwa nchi eti makonda naeanatupiga msimamishe kwa nusu saa barabarani
Waheshimiwa wanasahau kuwa ni sisi wananchi tumewaweka pale na si serikali.
 
Mambo hayo mbona kawaida tu bageshi!!!! Shida kubwa watu wa usalama bado wanatumia Security protocol za kizamani!! Za enzi ya Baba wa Taifa!!! Inabidi wabadilike nchi hii sasa inakimbia!!! Kuwasimamisha watu barabarani kwa masaa kadhaa eti ili kumpisha Rais Mstaaaf ni kuihujumu nchi kiuchumi!!! Watu wapo barabarani kwa shughuli maalum na nyingi ni za kimaendeleo!! Nadhani umefika wakati sasa wazee wa TISS wazipitie upya protocol zao ili zisiwe shida kwa wananchi kama akina Jidula Mabambasi na wengine kama mimi Mkoromije.
hata huko walikoendelea,wananchi huwa wanasimamishwa kuwapisha waheshimiwa sana.
 
viongozi wetu wanawaogopa wananchi wao! lakini kama kuna mtu anania ovu hata uki clear barabara ndio kwanza unamrahisishia huyo mpanga uovu kwa kupunguza "casualties"
Hivi niwaulize wajuvi wa mambo ya usalama, kuna risk gani mstaafu rais akitumia barabara kiraia kabisa na consequences zake ni zipi?
 
Magu tafadhali nunua helicopter kwa matumizi ya viongozi ili kuepusha akina sie kukaa pembeni masaa 2. Nimeshakosa ndege hivi hivi achilia mbali wananchi wenye ticket wanaokosa mabasi. Awamu hii hali imekuwa mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom