mwasipenjele
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 771
- 450
Kama wewe ni mhenga basi andika chochote hapa ili tukumbushane mambo ya enzi hizo
wale tuliovaa soksi za pundamilia shuleni mikono juu!
hahahaha, msomali mirungi imemharibu hahahahhahahaahhaha uwiiiiiiii mbav zangu mie jaman!hv hapo ukute ndo kafunga mdomo hahahahaha
Na Tulienda Na Vidumu Vya Maji Vya Kumwagilia Maua Shuleni Vipi Ulikuwepo?haahahahha nilikuepo
Na Tulienda Na Vidumu Vya Maji Vya Kumwagilia Maua Shuleni Vipi Ulikuwepo?
Kumbe Ulikuwa Hupendi Shule Eenheenilikua kila siku natafuta sababu hasa ugonjwa lol!
Kumbe Ulikuwa Hupendi Shule Eenhee
Wewe Utakuwa Mziwanda Ulikuwa Unadeka Sanaweee!ukisikia unoko wa shule mie nilikua namba 1!sjawah shinda shule bila sabb za msingi!hilo nipo proud nalo mnoo!
Wewe Utakuwa Mziwanda Ulikuwa Unadeka Sana
Ha Ha Ha Kumbe Jamani! Ndo Maana Mjanja Mjanjahapana ! nilikua bright sana shule alafu full nidham! bas nimesoma kikitonga sanaaa!
Ha Ha Ha Kumbe Jamani! Ndo Maana Mjanja Mjanja