mwekwa ntandu
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 944
- 2,191
Habari wadau,nimehangaika kwa muda mrefu kupata jina la wimbo huu bila mafanikio ni wimbo wa zamani na sehemu ya mashairi yake yanasema "NIMEACHANA NA MUME WANGU NIMEKWENDA KWA REHANI,BAADA YA MUDA REHANI KANIKIMBIA ETI SINA TABIA NZURI. kwa ambaye anaufahamu naomba anitajie jina la wimbo na muimbaji/kundi. nitashukuru nikiupata maana niliipenda melody yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app