Wahehe noma wala mzungu

Wahehe katika kijiji kimoja mkoani iringa ambao hawajawahi kumuoana mzungu siku moja vijana wakihehe wakikatisha mitaani wakamuona mzungu wakapiga kelele wakisema nguruwe mzungu akesema No! wakazania kasema amenona walimpiga kwa mawe na mapanga na kumugawana faster kwajili ya mlo wa jioni walikula mpaka viatu vyake wakizania ni makanyagio kama ya ngombe cheka sasa
Binadamu kuuwawa na kufanywa kitoweo si jambo la kucheka.Au kwa kuwa ni mzungu? Hapa kuna utani lakini hakuna ucheshi.
 
Back
Top Bottom