Wahaya wote inawahusu!!!

1. Kwa takwimu za siku za Karibuni (Household Budget Survey 2010/2011).. Kagera is the economically 2nd poorest region in Tanzania only bitting Singida! Dar is the richest, followed by Mwanza, Arusha, Kilimanjaro!!

Watu wa Kagera acheni kutamba!!! Wekezeni Kagera kama watu wengine wanavyowekeza katika Mikoa yao!

2. Why? Kagera is fertile region, it has learned population (some who in fact stay in Oysterbay), it is bordering many countries (Uganda, Rwanda and Burundi), plenty of fish! n.k, n.k

Sasa mimi sijui kwa nini mkoa huu uanzidi kuwa nyuma wakati kuna raslimali zote hapo juu!

Natoa hoja
Ndiyo lengo la mtoa hoja kwani mkoa ni masikini sawa lakini wazawa matajiri ni wengi na wamewekeza nje ya mkoa wao.
 
Mwalimu Nyerere alipata kunena yafuatayo kwenye chapisho lake la Education for Self Reliance (1967):

[“...the few who go to secondary schools are taken many miles away from their homes; they live in enclave, giving permission to go into the town for recreation, but not relating the work of either town or country to their real life – which is lived in the school compound. Later a few people go to university. If they are lucky enough to enter Dar-es-salaam University College they live in comfortable quarters, feed well, and study hard for their Degree. When they have been successful in obtaining it, they know immediately that they will receive a salary of something like £660 per annum. That is what they have been aiming for; they may also have the desire to serve the community, but the idea of service is related to status and the salary which a university education is expected to confer upon its recipient. The salary and status have become a right automatically conferred by the Degree”

“It is wrong of us to criticize the young people for these attitudes. The new university graduate has spent the larger part of his life separated and apart from the masses of Tanzania; his parents may be poor, but he has never fully shared that poverty. He does not really know what it is like to live as a poor peasant. He will be more at home in the world of the educated than he is among his own parents. Only during vacations has he spent time at home, and even he will often find that his parents and relatives support his own conception of his difference, and regard it as wrong that he should live and work as the ordinary person he really is. For the truth is that many of the people in Tanzania have come to regard education as a meaning that a man is too precious for the rough and hard life which the masses of our people still live.”]

J.K. Nyerere, Education For Self Reliance, 1967.

Tafakari, chukua hatua.


Those days are gone!
 
Ina maana sisi wahangaza hatuko kagera!mbona heading inawahusu wahaya tu.MASKINI AKIPATA,------ HULIA MBWATA.Hilo ndo tatizo lenu.Asili yenu ni UG mko kama Idd Amin,Mseven n.k.Af sura ngumu nyeusiii then mnatamba mna mademu wakali.Mungu angewajalia uwezo wa mali mngetunyea kinywani.JADILI NAMNA YA KUWAPUNGUZA WAMAMA WA KIHAYA TANDIKA,WAMEZIDI KUUZA K.

Hili ndilo tatizo la kukurupuka kutoa hoja ikiwa hujui mada inazungumzi, kitendo cha kuona neno wahaya umekuwa na jaziba bila kujua mtoa mada alizungumzia nini kuhusu wahaya. We kilaza kweli!
 
dats right brother......nmeipenda hii, unajua kitu km hii ni ya muhimu sana ktk jamii na nadhani makabila mngn yakiiga nadhani itakua njia nzuri sana kuelekea maendeleo, actually mi pia ni muhaya but nlipofika chuoni (ARUSHA TECH) nlitamani sana kiwepo kitu km hiki but unfortunately nlitaarifiwa kua hiyo kitu ilikuwepo but uongozi wa chuo ulipiga sana vita so ikafa but one thing nlipenda kwa wahaya its strong cooperation kwamba japokua walizuia but still they are 2gther hata mwenzetu anapopatwa na shida response yao inakua kubwa.
 
amina sana, kaka hebu achana nao bhana wivu tu ndo umemjaa. "WAHAYA ELIMU KWANZA" amina sana
 
Hivi wewe unanijua vizuri au unaandika kufurahisha fikra zako? Kwa taarifa zako mimi ni zaidi ya uandikayo. Kwani kuandika bandiko hapo juu ndio kosa? Wewe vipi?
Mbona imekukereketa sana? ***** WE!
Na mshamba ni wewe mwenyewe. Do you know me? NJOO OYSTERBAY MKWAWA STREET, ZAMBIA ROAD, HOUSE NO. 0120.
Upo hapo? NYAMBAF

wewe kweli mhaya pure!
 
Hapa tatizo umetaja wahaya mjomba,ungetaja wabena/wagogo wala usingesimangwa hivi ..ila msipoteze focus yenu,go on!
 
Back
Top Bottom