Wahariri wampuuza Nape

Wahariri wampuuza Nape

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,154
Reaction score
162,570
Taarifa ya Nape ya kukanusha tuhuma za chama chake kutaka kumdhuru Dr.Slaa zimepuuzwa kwa kiasi kikubwa na magazeti mengi ya leo kwani wahariri wameipa kisogo habari hiyo kwa kutoichapisha katika kurasa za mbele za magazeti na mengine kutoandika chochote kabisa kuhusu habari hiyo yakiwemo magazeti ya chama na serikali.

Ukiacha habari kuhusu ajali ya Mbeya,habari nyingine iliyotawala ni kauli ya Zitto Kabwe kudai hana taarifa za kufukuzwa na kwamba anasubiri maamuzi ya spika.

Yaani kauli ya Zitto kwa waandishi yamfunika Nape wa chama tawala!

Kweli Nape na CCM yako watu wamewachoka!

Mwisho wa ubaya aibu!
 
Hoja ni habari kuandikwa kwenye magazeti au kuwafikia walengwa?.

Kwani wewe hiyo habari ya kukanusha umeipata wapi?.

Kama hujaipata kwenye gazeti huoni kuwa ujumbe wake umefika kwa walengwa bila hata ya kutegemea magazeti.

Vijana wa bavicha mnafurahisha sana!

Huwezi hata kuchambua hoja kwa kutumia fikra pana na pevu ili kuelewa mantiki yake.
 
Hoja ni habari kuandikwa kwenye magazeti au kuwafikia walengwa?.

Kwani wewe hiyo habari ya kukanusha umeipata wapi?.

Kama hujaipata kwenye gazeti huoni kuwa ujumbe wake umefika kwa walengwa bila hata ya kutegemea magazeti.

Vijana wa bavicha mnafurahisha sana!

Huwezi hata kuchambua hoja kwa kutumia fikra pana na pevu ili kuelewa mantiki yake.

Ubishi nao ni kipaji!
 
Salary Slip MAGAZETI yalitakiwa kufanya kazi ya kuhubiri AMANI na HAKI.Lakini vyombo vya habari ndiyo viko mbele kufanya siasa chafu na kuhibiri CHUKI na UADUI.Hebu tu ione issue ya Zitto inavyowekwa na wanahabari,ni kama kuna uadui mkubwa wa Zitto na wanasiasa wenzake.Ambapo nilitegemea vyombo vya habari viwe mahali pakuweka maridhiano.

Kazi tunayo watanzania,tumejivika JOHO la chuki na uadui,tunakoenda hakika tutafika karibuni.
 
Nape ni mwendawazimu,hana akili timamu. Taarifa yake imeandikwa na gazeti la Uhuru tu.
Sijawahi kuona mtu ambaye ubongo wake hauna ushirikiano na mdomo wake kama Nepi.
 
Hoja ni habari kuandikwa kwenye magazeti au kuwafikia walengwa?.

Kwani wewe hiyo habari ya kukanusha umeipata wapi?.

Kama hujaipata kwenye gazeti huoni kuwa ujumbe wake umefika kwa walengwa bila hata ya kutegemea magazeti.

Vijana wa bavicha mnafurahisha sana!

Huwezi hata kuchambua hoja kwa kutumia fikra pana na pevu ili kuelewa mantiki yake.

Comical Nape (read Nape Mchekeshaji) at his best!

Comedian nacho ni kipaji.
 
...nape ni vuvuzela,hakuna mtu mwenye akili timamu atakubali lipulizwe karibu ya masikio yake...
 
Angetupa na yeye utafiti wake alioufanya kuonyesha kwamba kilichomsibu ya Dr Slaa io kweli. Sio kukanusha tu!
 
Hoja ni habari kuandikwa kwenye magazeti au kuwafikia walengwa?.

Kwani wewe hiyo habari ya kukanusha umeipata wapi?.

Kama hujaipata kwenye gazeti huoni kuwa ujumbe wake umefika kwa walengwa bila hata ya kutegemea magazeti.

Vijana wa bavicha mnafurahisha sana!

Huwezi hata kuchambua hoja kwa kutumia fikra pana na pevu ili kuelewa mantiki yake.

Tumeipata kutoka kwa Tandale one wa JF ambaye yeye jana alikri kuwa ndiye nape

BTW point bado inasimama...Ujumbe wa mwenezi wa chama tawala umepuuzwa na wahariri kwa sababu ni pumba zilezile

Ni haki yako kufurahia vijana wa Bavicha...Kama vile unavyofurahia fisi kwenye mikutano yenu

Wazee wa CCM mnafurahisha sana....Hamna hata akili ya kuona mambo nje ya box
 
Hoja ni habari kuandikwa kwenye magazeti au kuwafikia walengwa?.

Kwani wewe hiyo habari ya kukanusha umeipata wapi?.

Kama hujaipata kwenye gazeti huoni kuwa ujumbe wake umefika kwa walengwa bila hata ya kutegemea magazeti.

Vijana wa bavicha mnafurahisha sana!

Huwezi hata kuchambua hoja kwa kutumia fikra pana na pevu ili kuelewa mantiki yake.
Kama lengo ni kuwafikia walengwa kulikuwa na haja gani ya kuwaita waandishi si mngepeleka tamko lenu ofisi ya Chadema, na kama walengwa ni waandishi wa habari basi tamko lenu wamelipuuza.

Mnachotakiwa kutuambia Mangula alikuwa na biashara gani na Kagenzi.
 
Kama lengo ni kuwafikia walengwa kulikuwa na haja gani ya kuwaita waandishi si mngepeleka tamko lenu ofisi ya Chadema, na kama walengwa ni waandishi wa habari basi tamko lenu wamelipuuza.

Mnachotakiwa kutuambia Mangula alikuwa na biashara gani na Kagenzi.

Mfa maji huyo achananae.
 
hakuna siku nimegundua kuwa Nape ni mwendawazimu kama jana. Jana amedhihirisha asivyotumia akili yake vizuri.
 
Nape sijui akiwa hata na mkewe nyumbani hua anaongeaje! Yaan hana lugha ya staha kabisa muda wote yeye ni mipasho tu. Bora Kinana anajua kuongea japo ni sampuli ile ile. Hata hivyo ulitegemea akiri kua intarahamwe (ccm) inahusika? Ni mhariri gan angeandika utumbo kama huo kwenye gazeti lake zaidi ya Uhuru ambaye nae ni ili mkono uende kinywani?
 
Hoja ni habari kuandikwa kwenye magazeti au kuwafikia walengwa?.

Kwani wewe hiyo habari ya kukanusha umeipata wapi?.

Kama hujaipata kwenye gazeti huoni kuwa ujumbe wake umefika kwa walengwa bila hata ya kutegemea magazeti.

Vijana wa bavicha mnafurahisha sana!

Huwezi hata kuchambua hoja kwa kutumia fikra pana na pevu ili kuelewa mantiki yake.

Usiwe unabisha kila kitu we cho.k.
 
Nape sijui akiwa hata na mkewe nyumbani hua anaongeaje! Yaan hana lugha ya staha kabisa muda wote yeye ni mipasho tu. Bora Kinana anajua kuongea japo ni sampuli ile ile. Hata hivyo ulitegemea akiri kua intarahamwe (ccm) inahusika? Ni mhariri gan angeandika utumbo kama huo kwenye gazeti lake zaidi ya Uhuru ambaye nae ni ili mkono uende kinywani?

Akiwa kwake anaendeleza umbea na kuropoka tu,nahisi anachapiwa kwa tabia zake za kimbeambea
 
Taarifa ya Nape ya kukanusha tuhuma za chama chake kutaka kumdhuru Dr.Slaa zimepuuzwa kwa kiasi kikubwa na magazeti mengi ya leo kwani wahariri wameipa kisogo habari hiyo kwa kutoichapisha katika kurasa za mbele za magazeti na mengine kutoandika chochote kabisa kuhusu habari hiyo yakiwemo magazeti ya chama na serikali.

Ukiacha habari kuhusu ajali ya Mbeya,habari nyingine iliyotawala ni kauli ya Zitto Kabwe kudai hana taarifa za kufukuzwa na kwamba anasubiri maamuzi ya spika.

Yaani kauli ya Zitto kwa waandishi yamfunika Nape wa chama tawala!

Kweli Nape na CCM yako watu wamewachoka!

Mwisho wa ubaya aibu!
Nape hana akili ndio mi mwenyewe najua, ila alichokisema kina maana, Dr. Slaa kazeeka sasa hivi nani atataka

kumuua? umri umeenda mtu ajihangaishe nae ili iweje, hizo tuhuma ukiwa una akili hata hazileti maana. Huu muda wa

kubumba skendo ungekua unatumiwa vizuri upinzani ungekua mbali, Kinana kaenda kuiba kura huko dom sisi

tunatengeneza propaganda, watu wengi sana Tanzania sasa hivi wapo exposed na current issues hivyo inakua vigumu

sana kutumia propz kuwin kura zao. Mapenzi na CDM yanatufanya tushindwe kufikiria njia mbadala za kupata wananchi

wengi kutoipigia kura CCM.
 
Hoja ni habari kuandikwa kwenye magazeti au kuwafikia walengwa?.

Kwani wewe hiyo habari ya kukanusha umeipata wapi?.

Kama hujaipata kwenye gazeti huoni kuwa ujumbe wake umefika kwa walengwa bila hata ya kutegemea magazeti.

Vijana wa bavicha mnafurahisha sana!

Huwezi hata kuchambua hoja kwa kutumia fikra pana na pevu ili kuelewa mantiki yake.

Sasa itafikiaje walengwa bila vyombo husika kuhusika.

Btw Huyu mzee yeye anapambana porini huko akina Chenge wao wapo mjini wanapiga hela.
 

Attachments

  • 1426140905922.jpg
    1426140905922.jpg
    42.7 KB · Views: 145
Taarifa ya Nape ya kukanusha tuhuma za chama chake kutaka kumdhuru Dr.Slaa zimepuuzwa kwa kiasi kikubwa na magazeti mengi ya leo kwani wahariri wameipa kisogo habari hiyo kwa kutoichapisha katika kurasa za mbele za magazeti na mengine kutoandika chochote kabisa kuhusu habari hiyo yakiwemo magazeti ya chama na serikali.

Ukiacha habari kuhusu ajali ya Mbeya,habari nyingine iliyotawala ni kauli ya Zitto Kabwe kudai hana taarifa za kufukuzwa na kwamba anasubiri maamuzi ya spika.

Yaani kauli ya Zitto kwa waandishi yamfunika Nape wa chama tawala!

Kweli Nape na CCM yako watu wamewachoka!

Mwisho wa ubaya aibu!
Nimeamini watanzania wa leo si wale wa 47. hata mimi habari ya nape nilibadilisha chaneli nilipomsikia ana bwabwaja utumbo wake. maana tunamjua ni mwongo, Mnafiki, mzandiki, mzabizabina, mchawi, mlogaji, ndo maana serikali yake ni ya kuua watu wanaofanyakazi vizuri.
 
Back
Top Bottom