Wahamisha Magoli na Suala la Kutangazwa Mapato!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,768
41,011
Kama ambavyo nimekuwa nikisema mara kadhaa sasa; tuliwaona wahamisha magoli wakitengeneza magoli yao mapema wiki iliyopita wakidai kuwa serikali sijui TRA wameamua kuficha mapato kwa sababu hayakuwa mazuri.

Magoli yao yaliandikwa kuwa ati TRA wameficha hesabu na wanaona aibu kutangaza mapato ya mwezi wa nne! Sasa leo mapato hayo yametangazwa kwa utaratibu ule ule na kuonesha kuwa mapato hayajashuka kama watengeneza magoli wetu walivyotaka...

Sasa wameanza kuhamisha - "oh nani anatangaza mapato!" ao "tunaweza vipi kuyaamini"...

Mwisho wa siku watang'oa magoi waondoke nayo uwanjani!
 
Kama ambavyo nimekuwa nikisema mara kadhaa sasa; tuliwaona wahamisha magoli wakitengeneza magoli yao mapema wiki iliyopita wakidai kuwa serikali sijui TRA wameamua kuficha mapato kwa sababu hayakuwa mazuri. Magoli yao yaliandikwa kuwa ati TRA wameficha hesabu na wanaona aibu kutangaza mapato ya mwezi wa nne! Sasa leo mapato hayo yametangazwa kwa utaratibu ule ule na kuonesha kuwa mapato hayajashuka kama watengeneza magoli wetu walivyotaka...

Sasa wameanza kuhamisha - "oh nani anatangaza mapato!" ao "tunaweza vipi kuyaamini"...

Mwisho wa siku watang'oa magoi waondoke nayo uwanjani!
kwikwikwi.... you are funny!!
 
Mapato yakishuka na ikawa sio siri tena, itakuwaje? Wahabomoa uwanja kabisa au magoli yatavunjwa? Ni suala la muda tu
 
Kama ambavyo nimekuwa nikisema mara kadhaa sasa; tuliwaona wahamisha magoli wakitengeneza magoli yao mapema wiki iliyopita wakidai kuwa serikali sijui TRA wameamua kuficha mapato kwa sababu hayakuwa mazuri. Magoli yao yaliandikwa kuwa ati TRA wameficha hesabu na wanaona aibu kutangaza mapato ya mwezi wa nne! Sasa leo mapato hayo yametangazwa kwa utaratibu ule ule na kuonesha kuwa mapato hayajashuka kama watengeneza magoli wetu walivyotaka...

Sasa wameanza kuhamisha - "oh nani anatangaza mapato!" ao "tunaweza vipi kuyaamini"...

Mwisho wa siku watang'oa magoi waondoke nayo uwanjani!
mkuu,samahani,hapo ulipo umebong'oa,umelala chali au kifudi fudi?
 
Kama ambavyo nimekuwa nikisema mara kadhaa sasa; tuliwaona wahamisha magoli wakitengeneza magoli yao mapema wiki iliyopita wakidai kuwa serikali sijui TRA wameamua kuficha mapato kwa sababu hayakuwa mazuri. Magoli yao yaliandikwa kuwa ati TRA wameficha hesabu na wanaona aibu kutangaza mapato ya mwezi wa nne! Sasa leo mapato hayo yametangazwa kwa utaratibu ule ule na kuonesha kuwa mapato hayajashuka kama watengeneza magoli wetu walivyotaka...

Sasa wameanza kuhamisha - "oh nani anatangaza mapato!" ao "tunaweza vipi kuyaamini"...

Mwisho wa siku watang'oa magoi waondoke nayo uwanjani!
Ungezungumzia suala la sukari vile magoli yavyohamishwa!!

Sukari ipo na viwanda vyetu vina uwezo wa kuzalisha sukari ya kutosha!!

Mara, kuna wafanyabiashara wanaficha sukari ..............!!

Mara, tumezuia sukari kuletwa toka nje kwa vile wafanyabiashara walikuwa wanakenda Brazil kutuletea sukari iliyokaribia kuexpire!!

Magufuli hawezi kushindwa kuleta sukari hata kama ni mabehewa elfu ngapi...!!

Nimeongea na Waziri Mkuu ................!!!

Hapa ndiyo kuhamisha magoli ............ siyo hayo unayoyasema hapo juu!!
 
Mie sina la kuchangia!Nimepita Kumjuria Hali MBONG'OAJI MAARUFU WA JF,NA MTAALAMU WA KUWA BONG'OLEWA WALE WALIOKATAA KUONYESHA BUNGE,HALAFU KWA HASIRA AKAJIAPIZA KUWA KUWA KUBALIA DHULUMA HII NI SAWA NA MWANAUME RIJALI KUMBONG'OLEWA MWANAUME MWENZIE!NA KAMA HAITOSHI AKAKUBALI KUWA BONG'OLEWA BAADA YA NAPE KUSITISHA LIVE COVERAGE YA BUNGE...NA SIJUHI KAMA SASA AMEENDELEA NA MKAO WA KUBONG'OA BAADA YA C.C.M KUONESHA BUNGE LIVE!
 
Kama ambavyo nimekuwa nikisema mara kadhaa sasa; tuliwaona wahamisha magoli wakitengeneza magoli yao mapema wiki iliyopita wakidai kuwa serikali sijui TRA wameamua kuficha mapato kwa sababu hayakuwa mazuri. Magoli yao yaliandikwa kuwa ati TRA wameficha hesabu na wanaona aibu kutangaza mapato ya mwezi wa nne! Sasa leo mapato hayo yametangazwa kwa utaratibu ule ule na kuonesha kuwa mapato hayajashuka kama watengeneza magoli wetu walivyotaka...

Sasa wameanza kuhamisha - "oh nani anatangaza mapato!" ao "tunaweza vipi kuyaamini"...

Mwisho wa siku watang'oa magoi waondoke nayo uwanjani!
..so funny. Sijui watapevuka lini ili wajielewe.
 
Hakuna jinsi kwa sasa mmebakiwa na kipaji cha matusi tu.
mkuu,sio tusi!ni mzee mwanakijiji aliyesema hayo!
a)2013-Tusiwa Bong'olee Wasio Taka Live Coverage ya Bunge
b)2016-Tuwa Bong'olee Wasio Taka Live Coverage ya Bunge
c)Leo-Ahahaha!SIJUHI ATABONG'OA AU ATALALA CHALI BAADA YA C.C.M KUACHILIA BUNGE LIWE LIVE!
 
Back
Top Bottom