Fafanua kidogo mkuu, tusanukeHawa jamaa wanakula sana mademu wapenda dezo.(wake za watu ndio wengi)
Yaani waha na bodaboda wanapelekana anus to anus kwenye suala la kula wake za watu.
Kama ni kuroga basi wanajua ila wana nidhamu ya fedha mno.Na hawatapeliki kirahisi