wagonjwa wawili

Washawasha

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
16,652
13,077
Wagonjwa wawili waliokuwa ktk ward 1 baada ya kupata ajali ya kugongwa na magari,wakawa wanazungumza kujua walifikaje pale hospitalini mazungumzo yao yakawa hivi...
Jamaa1:ndugu yangu umegongwa na gari gani?...
Jamaa2:nimegongwa na mgongo wa chura(VW old model)....
Jamaa1:we mpumbavu nn?magari yote haya ya kifahari unaenda kugongwa na Bito,unaona mwenzio nimegongwa na Ferrali
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…