Ni dalili za mgomo baridi na ukweli kuwa huduma zimezembea na serikali yatishia atakaye goma kushitakiwa na hakuna ruhusa ya kufanya mikutano na mikutano yote ni haramu
Ni dalili za mgomo baridi na ukweli kuwa huduma zimezembea na serikali
yatishia atakaye goma kushitakiwa na hakuna ruhusa ya kufanya mikutano
na mikutano yote ni haramu
watanzania tuwaunge mkono madaktari dhidi ya serikali dhaifu ya
ccm......haya sio mambo ya kutishia watu ni mambo ya kuwaopa haki
yao,kimsingi madai ya madaktari ni yanatekelezeka,iweje mbunge alipwe
10m kwa mwezi afu washindwe kutimiza madai ya watendaji muhimu kama
hawa,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.