Wagombea wa CCM namba zetu za Simu mmetoa wapi?

Wagombea wa CCM namba zetu za Simu mmetoa wapi?

The Businessman

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
7,397
Reaction score
9,263
Habari,

Nimekuwa natumiwa meseji na mgombea ubunge Fredrik Mwakalebela mgombea wa CCM za kumtaka nimpe kura yangu, hii meseji huwezi kuijibu naomba kuuliza namba yangu ya Simu amewapa nani na mimi sijawahi kutoa namba kwa mgombea yoyote yule. Naimani sio mimi tu niliyotumiwa hizi meseji.

Huku ni kuingilia mawasiliano ya mtu binafsi.
 
mimi nimepata ya el sijui vp
 
Ndio maana wananchi wanahitaji kurinda kura zao,tume haiaminiki;Hapa unaweza jiuliza huyu Mwakalebela katoa wapi namba zetu za simu kama sio tume?Maana mimi nilijiandikisha Iringa ila sasa hivi sipo iringa na hiyo msg nimetumiwa kwa jina la F.Mwakalebela.
 

Attachments

  • 1445255851156.jpg
    1445255851156.jpg
    53.9 KB · Views: 304
Ndio maana wananchi wanahitaji kurinda kura zao,tume haiaminiki;Hapa unaweza jiuliza huyu Mwakalebela katoa wapi namba zetu za simu kama sio tume?Maana mimi nilijiandikisha Iringa ila sasa hivi sipo iringa na hiyo msg nimetumiwa kwa jina la F.Mwakalebela.

Ndio mkuu ni hiyo hiyo, nazani kuna kitu kinaendelea kati ya hawa wagombea na Makampuni ya Simu.
 
duh! hii mitandao yetu inabidi tuiadhibu kisheria sasa maana hamna jinsi! hata privasy hamna! ngoja niichangamkie deal
 
simuamini mtu.yoyote dawa kumpeleka mahakani maana hii ajakaa poa.
 
Hizo sms tumetumiwa hata huku nyamagana mwanza na mgombea wa ccm(mabula stanslaus) akidai kuomba kura..Ila juzi nilifarijika baada ya kuona sms toka kwa kamanda Ezekiel Wenje naye akiomba kura. nikasema moyoni kuwa hapa ni jino kwa jino. na hatimaye makamanda wanazama magogoni.
 
TUME haihusiki kabisa na masuala ya hizi meseji. Mimi niliwahi kuletewa meseji na mtu nisiyemjua kabisa (Nafikri alikuwa nyumbu) ikimfananisha Lowassa na Musa! Eti Musa aliwakomboa Waisraeli toka utumwani Misri, hivyo Lowassa atatukomboa Watanzania kutoka utawala wa CCM! Makampuni ya simu ndiyo ya kulaumiwa.
 
Back
Top Bottom