Wagombea kitovu cha mtoto mchanga!

Wagombea kitovu cha mtoto mchanga!

We build values, beliefs and attitudes from the communities we live in.
Kama unavyojua dini ilivyo-sensitive sababu ndo belief ya mtu ya mwisho hapa duniani, hata hizo mila ni miongoni mwa value and beliefs.
Sio kitu kichapotea kiurahisi, na sio kitu kinachodharauliwa kirahisi. Its a value, ni kitu ambacho kiko dearly into someones brain.
Sie tunawaona wajinga lakini to them its something big.
Mfano, sasa hivi nikuambie ukane dini yako hapo ulipo, si utaniona chizi?
Chunguza kwa nini wewe ni dini hiyo? Wengi wetu tumerithi toka kwa wazazi, na tunaamaaini aadearly, na wakati ule akili ya kibinadamu imefikia ukomo, our last resolution ni dini.

So siwezi wasema chochote wanaogombea kitovu ila naona ni haki ya mama maana mama mkwe alishatumia cha kijana wake
Na tabia
 
We build values, beliefs and attitudes from the communities we live in.
Kama unavyojua dini ilivyo-sensitive sababu ndo belief ya mtu ya mwisho hapa duniani, hata hizo mila ni miongoni mwa value and beliefs.
Sio kitu kichapotea kiurahisi, na sio kitu kinachodharauliwa kirahisi. Its a value, ni kitu ambacho kiko dearly into someones brain.
Sie tunawaona wajinga lakini to them its something big.
Mfano, sasa hivi nikuambie ukane dini yako hapo ulipo, si utaniona chizi?
Chunguza kwa nini wewe ni dini hiyo? Wengi wetu tumerithi toka kwa wazazi, na tunaamaaini aadearly, na wakati ule akili ya kibinadamu imefikia ukomo, our last resolution ni dini.

So siwezi wasema chochote wanaogombea kitovu ila naona ni haki ya mama maana mama mkwe alishatumia cha kijana wake
Na tabia
 
Ndyoko mila zipo na zinafuatwa. Hapo ndio ujue tatizo la kuoa mke wa kabila lingine na aliye mbishi; hao wame differ katika mila zao. Kitovu cha mtoto mama yangu alinambia kinapaswa kutunzwa (si kutambika) na kutupwa sehemu salama kwa sababu wachawi kwao ni dili ni kama wanavyonyofoa sehemu za siri za watu. Kwa hiyo nisingependa mtu achukue kitovu cha mwanagu akatumie kwa jinsi atakavyo yeye. Najua kuna watakao sema it doesn't matter, fikiria umzike nduguyo afu wachawi wamfukue wamle; utaendelea kusema it doesn't matter kwa kuwa kafa ni mzoga tu??? Well ili ni cost nothing kufuata ushauri wa mama yangu.

nimekusoma kamanda, thanx for the good and safe knowledge
 
Vitovu vina mambo. Nakumbuka mama mkwe wangu alinambia nihakikishe kitovu kikianguka akimwangukii mtoto kwenye mdudu wake; kwani kwao mwanza wanaamini kuwa kikigusa mdudu, mtoto akikua atakuwa functionless; Basi nilikuwa makini kweli; nani anataka kuwa na mtoto si riziki.

hilo ndo nilokuwa nalijua na kweli hata mimi, hilo lilikuwa swali la kwanza kwa maerehemu shemeji yangu alokuwa akitulelea first born wetu siku aloniambia kwamba kimedondoka
 
ila wachaga kwa ushirikina (sio uchawi) nadhani ni namba moja hapa nchini tz, hasa Rombo, mwe mwe mwe mwe, usiombeeeeeeee!
 
Wanadamu nyie. . . . . !!!

Inawezekana ikulu imepigwa mawe, ila mhhhhhhhhhh! kwa miezi 10 niliointeract kule rombo, nilibaki hoi!!!!!!!!!!! wala sikuamini kabisa ila ukweli ndo huo tena!
 
Inawezekana ikulu imepigwa mawe, ila mhhhhhhhhhh! kwa miezi 10 niliointeract kule rombo, nilibaki hoi!!!!!!!!!!! wala sikuamini kabisa ila ukweli ndo huo tena!
Kaaazi kweli kweli.
 
Kuna mtu alinambia kama unataka kuwa mshirikina kuwa mfanyabiashara. Wengi wanaosifika kuwa ni wafanya biashara wazuri wanasifika kwa ushirikina pia. Mambo ya kuvuta wateja. Lol.
 
Tanzania bila ya ushirikina haiwezekani kamwe.
 
Kuna mtu alinambia kama unataka kuwa mshirikina kuwa mfanyabiashara. Wengi wanaosifika kuwa ni wafanya biashara wazuri wanasifika kwa ushirikina pia. Mambo ya kuvuta wateja. Lol.

We sasa umeanza uchokozi unaovuka mipaka sasa! Angalia utanyimwa kisusio, shauri yako!
 
Lakini kweli hata mm yalinikuta Mama Mkwe wangu kaja kumuuguza mke wangu kitovu kilipodondoka kaondoka nacho, safari hii sikubali naanza mpiga marufuku mapema kwani Mama watoto karibu atajifungua na vituko vya Bibi mkwe naaza visikia kutaka kuja
 
Halafu wajinga wakiua maalbino tunajidai kuwalaani. Ni ujinga na ushirikina ndio umesababisha tuwe hapa tulipo. Wenzetu wanafikiri kila siku namna ya kutatua matatizo yanayotukabili katika hii dunia sisi tumebakia kuua albino,kusifia limbwata na kugombania kitovu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom