Mahakama ya Sokoine Drive imewatia hatiani na kuwahukumu kifungo cha wiki 2 wasichana waliokua wakijiuza.
Wasichana hao ni Aisha Nassoro(20) na Upendo Julius(39),hukumu hiyo ilifuatia baada ya hakimu kujiridhisha na ushahidi kwani mabint hao waliokamatwa maeneo ya Buguruni WALIKIRI kufanya biashara hiyo ya KUUZA MAHABA KWA WANAUME.
Sosi:mwananchi
Wasichana hao ni Aisha Nassoro(20) na Upendo Julius(39),hukumu hiyo ilifuatia baada ya hakimu kujiridhisha na ushahidi kwani mabint hao waliokamatwa maeneo ya Buguruni WALIKIRI kufanya biashara hiyo ya KUUZA MAHABA KWA WANAUME.
Sosi:mwananchi