Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Mnyika,tobo lissu,halima mdee aka kisauti,kichaa msigwa aende mirembe,
una 1kB brain
Mnyika,tobo lissu,halima mdee aka kisauti,kichaa msigwa aende mirembe,
Huyu Manyanya 2015 lazima atagombea jimbo fulani. So hata yeye atakutana na nguvu ya Ummawote watang'oka ila huyo Manyanya ni Viti Maalum strategy iweje? anyway Majimbo mengi yakichukuliwa naamini na yeye atakuwa hayumo, umesahau Prof.Maji Marefu
Hivi wabunge hawa wafuatao walichaguliwa na nani? walijichagua wenyewe au walichaguliwa na wananchi?
MWIGURU,LUSINDE,WASIRA, E.S MANYANYA na JOHN SHIBUDA....hakika hawa si wabunge wala si wawakilishi wa wananchi, Hawa ni watu hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu....yaani hawa watu ni zaidi ya mashabiki wa CCM waliokunywa maji ya bendera ya chama...yaani wako teyari nchi iingie kwenye machafuko ilimradi ccm itawale milele...hawa watu ni zaidi ya propaganda.
Ombi langu nalielekeza kwa wananchi wa majimbo husika walikotokea wabunge hawa chonde chonde hakikisheni uchaguzi wa mwaka 2015 hawa watu hamuwachagui tena.
Pia nawaombeni viongozi wa CDM hakikisheni munapata watu bora na makini ambao mtawasimamisha kupambana na hawa watu (SUMU) kwenye majimbo husika....vinginevyo nchi itaingia kwenye machafuko ya hatari sana.
Nawasilisha kwa hoja pana.
Hivi wabunge hawa wafuatao walichaguliwa na nani? walijichagua wenyewe au walichaguliwa na wananchi?
MWIGURU,LUSINDE,WASIRA, E.S MANYANYA na JOHN SHIBUDA....hakika hawa si wabunge wala si wawakilishi wa wananchi, Hawa ni watu hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu....yaani hawa watu ni zaidi ya mashabiki wa CCM waliokunywa maji ya bendera ya chama...yaani wako teyari nchi iingie kwenye machafuko ilimradi ccm itawale milele...hawa watu ni zaidi ya propaganda.
Ombi langu nalielekeza kwa wananchi wa majimbo husika walikotokea wabunge hawa chonde chonde hakikisheni uchaguzi wa mwaka 2015 hawa watu hamuwachagui tena.
Pia nawaombeni viongozi wa CDM hakikisheni munapata watu bora na makini ambao mtawasimamisha kupambana na hawa watu (SUMU) kwenye majimbo husika....vinginevyo nchi itaingia kwenye machafuko ya hatari sana.
Nawasilisha kwa hoja pana.
Basil Mramba-Ufisadi
Edward Lowassa-Ufisadi
John Chenge-Ufisadi
Anna Makinda-Ukihiyo na kuburuza bunge
Mohamed Dewji-Ufisadi kununua ule uwanja wa Mkullo
Mustafa Mkullo-Ufisadi
Anna Abdallah-Ufisadi
Mudhihir Mudhihir- Ufisadi
Sofia Simba-Ufisadi
Gosbert Blandess-Ufisadi
Shukuru Kawambwa-Uzembe
Jumanne Maghembe-Uzembe
George Mkuchika-Ufisadi
Adam Malima-Ufisadi na uhuni
Mathias Chikawe-Uzembe
John Komba-Ufisadi na Uzembe
Mary Nagu-Kughushi
Emanuel Nchimbi-Kughushi
endelea.....
Huyu Manyanya 2015 lazima atagombea jimbo fulani. So hata yeye atakutana na nguvu ya Umma
Lukuvi nimeshamuongeza kwenye hiyo list kutoka wa4 hadi wa5....tena huyu ndiyo hatari zaidi kama Mwigulu
ni kweli mkuu ila hapo red ni mwiguluHivi wabunge hawa wafuatao walichaguliwa na nani? walijichagua wenyewe au walichaguliwa na wananchi?
MWIGURU,LUSINDE,WASIRA, E.S MANYANYA na JOHN SHIBUDA....hakika hawa si wabunge wala si wawakilishi wa wananchi, Hawa ni watu hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu....yaani hawa watu ni zaidi ya mashabiki wa CCM waliokunywa maji ya bendera ya chama...yaani wako teyari nchi iingie kwenye machafuko ilimradi ccm itawale milele...hawa watu ni zaidi ya propaganda.
Ombi langu nalielekeza kwa wananchi wa majimbo husika walikotokea wabunge hawa chonde chonde hakikisheni uchaguzi wa mwaka 2015 hawa watu hamuwachagui tena.
Pia nawaombeni viongozi wa CDM hakikisheni munapata watu bora na makini ambao mtawasimamisha kupambana na hawa watu (SUMU) kwenye majimbo husika....vinginevyo nchi itaingia kwenye machafuko ya hatari sana.
Nawasilisha kwa hoja pana.
wabunge wote wa chadema ni wauwaji,juzi apa wameuwa kule iramba,wengine jana hukumu imetoka waliuwa huko igunga,mwingine ambae ndio kinara wao leo anafanya sherehe kufuatia kuzama kwa meli na kuua watu huko zanzibar.watanzania endeleeni kuwapuuza hawa watu wabaya sana.