Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,498
Leo Polisi wanazuia watu kuingia ndani ya chumba cha mahakama, kusikiliza Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu, wakidai mahakama imejaa lakini ndani hali ni hii.
Watu wametoka nje ya chumba cha mahakama kushinikiza watu waliozuiwa kuingia mahakamani waruhusiwe kuingia ndani.
Majaji wameingia kwenye ukumbi wa Mahakama kwa ajili ya kesi ya Lissu kuanza
Imebidi Viongozi wote wa Chama na Wanachama wote ambao tayari walikuwa wameshaingia ukumbiki wametoka njee kuonyesha kutounga mkono kitendo cha Polisi kuzuia watu waiingie Mahakanani.
Imebidi Viongozi wote wa Chama na Wanachama wote ambao tayari walikuwa wameshaingia ukumbiki wametoka njee kuonyesha kutounga mkono kitendo cha Polisi kuzuia watu waiingie Mahakanani.