Nimepata tu wazo, kuna Wameru wengi walijiandikishia huko lakini wapo nje ya Arusha. Nashauri tu Chadema itangaze wale wenye vitambulisho na ni wafuasi wa Chadema wawasiliane na chama makao makuu ya mikoa tuangalie uwezekano wa kuwachangia nauli wale wasiojiweza. Hapa DSM kwa mfano tungeweza kuwakodishia mabasi wakaenda, ni wazo tu lakini nadhani zuri. Ni kukodosha magari au wanachadema wajitolee kuwasafirisha si kutoa cash