Wafuasi na Mashabiki wa Iran, wanajiliwaza kwa picha na Video feki za AI

Wafuasi na Mashabiki wa Iran, wanajiliwaza kwa picha na Video feki za AI

Yani kama ni ndoni mmoja wa mabondia mwiko kumchukua picha hakipigwa 😶‍🌫️😶‍🌫️😶‍🌫️🫣🫣🫣lkn mpinzani wake yeye hajazuia !!!

sasa tutawezaje kujua Uso wa Bondia mwengine ili tujue kweli yeye ndio anashinda!!!!

tatizo lipo apo.😇😇
 
Wenye akili ndio watajua sababu za Israel kuzuiya media kwake mtu km ww pengine ungeona kipondo kinachotolewa na Iran usingeandika ayo tatizo umezibwa macho!!!

Ndiomana Israel kafunga media kwake tusijue ya kwake jiongeze

Wenye akili ndio watajua sababu za Israel kuzuiya media kwake mtu km ww pengine ungeona kipondo kinachotolewa na Iran usingeandika ayo tatizo umezibwa macho!!!

Ndiomana Israel kafunga media kwake tusijue ya kwake jiongeze mkuu!!
Hivi unajua kwa nn kobaz wanaita malaika mtoa roho ni israeli ..Kaa ukijua tangu kale yule jamaa hacheki na kima na kama unafuturu kwa tende za msaada wa iran jua ndo mwaka huu mwisho mtoa roh
 
Kwann Israel wanazuiya picha km hakuna kipondo¿¿¿¿¿¿¿¿
Juzi Jumanne, Wairan wamesambaratisha ikulu ya Netanyahu, kuanzia hapo hajaonekana tena akitoa majigambo....
Huwa nawaambia Iran iko mbali sana kiuchuni na Technologia, Israel haiwezi kuwaambia kitu.
Ukanda wa Asia na hata Urusi hutegemea Irani kupata silaha kama Drne za kivita nk nk
 
Mkuu Iran sio Venezuela ni suala la mda tu
 
Yule jamaa yao anaeongozaga mihadhara dokta Sule kawakataa kobaz wenzake kasema ukweli kua istaeli ni taifa teule iran atakula kichapo hata waarabu wote waungane watachapwa ...haya maneno sio yangu ni ya kobaz sule
Sahihi mkuu,
Kama unafuatilia mambo ya kimataifa Israel haikuwa na uwezo hata kidogo wa kuipiga Iran
Israel Inapata kiburi kwa sababu ya kituo cha kijeshi cha marekani kilichojengwa nchini kwake; wabongo wa vivu wa kusoma wanafikiri ni nguvu ya Israel....
Hivi unajua juzi ikulu ya Netanyahu ilisabaratishwa, akaponea chupu chupu na tangu hiyo juzi kajificha sijui yupo kwa matibabu!
Sikiliza madini ya KOBAZ mwenzio hapa akutoe tongotongo.


View: https://www.facebook.com/share/v/1BuDNhzziU/
 
Ilani wameteketea, Venezuela wanapumua. Kipi bora?
Tulia ni suala la muda usidanganywe na movie za Hollywood output ya hii vita Kwa marekani na sera zake itamuacha pabaya sana hapo mchina anachekelea tu
 
Tulia ni suala la muda usidanganywe na movie za Hollywood output ya hii vita Kwa marekani na sera zake itamuacha pabaya sana hapo mchina anachekelea tu
Kwamba viongozi wa Iran kufa ni movie za Bollywood? Ngoja nitulie kama unavyosema...
 
Kwamba viongozi wa Iran kufa ni movie za Bollywood? Ngoja nitulie kama unavyosema...
Kwan wameanza kufa leo sio viongoz tu Hadi nuclear scientist lakin hawajabadili chochote ni sawa na kuzima moto na petrol, Persian by nature ni watu wasiokubali kushindwa na wako tayari kufa Kwa kulipigania taifa lao.
 
Nimeona political analyst mmoja anahojiwa Al Jazeera anasema vita hii imechukua 4-5 days kwa usa kukamata anga la Iran kwasababu radar ya wairan haizisomi usa 4th-5th generaltion (F-16, F-22 or F-35) planes. Hii inafanya waisrael na usa kujipigia Iran watakavyo. Huyu political analyst anasema ni ngumu kwa iran kushinda
Kama wamekamata anga, Mbona B-52 inarusha makombora ikiwa Nje ya anga la Iran?
=====
U.S. Air Force B-52 Stratofortress strategic bombers have been active since the early hours of Operation Epic Fury, targeting Iranian military infrastructure with long-range cruise missiles. Video released by U.S. Central Command shows multiple B-52 aircraft departing on strike missions carrying AGM-158 Joint Air-to-Surface Standoff Missiles, indicating the bombers are conducting precision attacks from outside Iranian airspace. Initial operational reports indicate the aircraft were used during the first 100 hours of the campaign to strike Iranian ballistic missile facilities and command and control nodes, part of a broader effort to degrade Tehran’s missile forces and military coordination capabilities.
 
Kama wamekamata anga, Mbona B-52 inarusha makombora ikiwa Nje ya anga la Iran?
=====
U.S. Air Force B-52 Stratofortress strategic bombers have been active since the early hours of Operation Epic Fury, targeting Iranian military infrastructure with long-range cruise missiles. Video released by U.S. Central Command shows multiple B-52 aircraft departing on strike missions carrying AGM-158 Joint Air-to-Surface Standoff Missiles, indicating the bombers are conducting precision attacks from outside Iranian airspace. Initial operational reports indicate the aircraft were used during the first 100 hours of the campaign to strike Iranian ballistic missile facilities and command and control nodes, part of a broader effort to degrade Tehran’s missile forces and military coordination capabilities.
Mkuu pole kwa kujira huu mjadala wengi tumeuchukulia wa kishabiki kwa hiyo hata mtu aeleze facts gani bado watakataa
 
Mwanaume mwenye kifua na rijali huwezi sherehekea kifo cha khamenei kama wewe sio shoga

Kule Iran hakuna ushoga kama huku, au kama Uarabuni ambapo wapo, kama ushoga upo Iran ni wa kiwango kidogo sana na tena kwa kujificha sana.

Na huyu khamenei mwamba alikua kiboko ya mashoga haswa, kule mashoga huwa wanakula kamba tu full kitanzi

Maana mwanaume na wanawake wote hawa unatoa wapi mzuka wa kukojolewa nyuma kama sio "Usenge" ninini..Ashakum sio matusi neno "msenge" ndo linapaswa kutamkwa hivyo kikamusi.

Unayemuona anayeshangilia kifo cha khamenei juwa huyo ni shoga tu we muulize tu kwamba yeye ni shoga?

Ifike mahali tuambiane ukweli tu, maana ni mpumbavu tu anaweza mchukia yule mzee

Mtu wa maana kabisa yule tena mwamba kabisa hana baya lakini kuna mashoga hata baadhi wa humu JF wanashangilia kifo chake
Wewe unayefurahia kifo chake acha ushoga ndugu yangu kutoboa miaka 40 mpaka 45 ni ngumu sana.
 
Nimeona political analyst mmoja anahojiwa Al Jazeera anasema vita hii imechukua 4-5 days kwa usa kukamata anga la Iran kwasababu radar ya wairan haizisomi usa 4th-5th generaltion (F-16, F-22 or F-35) planes. Hii inafanya waisrael na usa kujipigia Iran watakavyo. Huyu political analyst anasema ni ngumu kwa iran kushinda
Sio hazikamati, wayahudi na wamarekani walilipua air defense kabla ya mashambulizi kuanza.

So sio kwamba wana teknolojia kubwa ila waliziwahi radar hizo na air defense missiles kabla ya kushambulia.
 
Wakikamata anga hakuna ndege kishuka au kupaa.. Sasa Iran hiyo misaada ya kivita atatoa wapi? Angepitisha kwa majirani kwa kutumia treni au njia ya barabara tatizo wote kashawashambulia
Maneno tu hayo, mbona ndege zikitoka route ya Russia na China haziguswi?
 
Back
Top Bottom