Wafuasi na Mashabiki wa Iran, wanajiliwaza kwa picha na Video feki za AI

Wafuasi na Mashabiki wa Iran, wanajiliwaza kwa picha na Video feki za AI

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,662
Reaction score
59,100
Huku Viongozi wa ngazi za Juu wa Iran wakiiangamizwa, nimeshuhudia Mashabiki na wafuasi wa Iran hasa wa dini ile waliopo Tanzania, Wakifurahia na kushangilia picha feki zilizotengenezwa na AI. Wanahisi ni vita ya Kidini.. 🤣🤣🤣

Wanaasema eti sasa hivi Israel imebaki majivu tu na watu kibao Israel wamekufa.. Hahahaaa🤣🤣🤣

Wanasahau kabisa Uongozi wa juu wa Iran washaoza muda huu.

Iran supporters wameweka tumaini lao kwenye fake videos of success sababu akili yao imegoma kukubaliana na reality that they already lost.

Trump kashasema hataki mazungumzo tena... Kilichobaki ni kuwala vichwa Iran. Mmoja baada ya mwingine.
IMG_20260305_122447_929.jpg
 
Nimeona political analyst mmoja anahojiwa Al Jazeera anasema vita hii imechukua 4-5 days kwa usa kukamata anga la Iran kwasababu radar ya wairan haizisomi usa 4th-5th generaltion (F-16, F-22 or F-35) planes. Hii inafanya waisrael na usa kujipigia Iran watakavyo. Huyu political analyst anasema ni ngumu kwa iran kushinda
 
Nimeona political analyst mmoja anahojiwa Al Jazeera anasema vita hii imechukua 4-5 days kwa usa kukamata anga la Iran kwasababu radar ya wairan haizisomi usa 4th-5th generaltion (F-16, F-22 or F-35) planes. Hii inafanya waisrael na usa kujipigia Iran watakavyo. Huyu political analyst anasema ni ngumu kwa iran kushinda
Wakikamata anga hakuna ndege kishuka au kupaa.. Sasa Iran hiyo misaada ya kivita atatoa wapi? Angepitisha kwa majirani kwa kutumia treni au njia ya barabara tatizo wote kashawashambulia
 
Huku Viongozi wa ngazi za Juu wa Iran wakiiangamizwa, nimeshuhudia Mashabiki na wafuasi wa Iran hasa wa dini ile waliopo Tanzania, Wakifurahia na kushangilia picha feki zilizotengenezwa na AI. Wanahisi ni vita ya Kidini.. 🤣🤣🤣

Wanaasema eti sasa hivi Israel imebaki majivu tu na watu kibao Israel wamekufa.. Hahahaaa🤣🤣🤣

Wanasahau kabisa Uongozi wa juu wa Iran washaoza muda huu.

Iran supporters wameweka tumaini lao kwenye fake videos of success sababu akili yao imegoma kukubaliana na reality that they already lost.

Trump kashasema hataki mazungumzo tena... Kilichobaki ni kuwala vichwa Iran. Mmoja baada ya mwingine.
View attachment 3552879

Vyovyote vile tambua tu kuwa, Nguvu ya kijeshi ya Irani inapita nchi nyingi tu za Ulaya
hivyo; Usiiwapuze....Ni sula la muda tu utaelewa!
 
Kadiri muda unavyisonga Iran anakata moto!.

Mfano kasi ya mashambulizi kwenye nchi za majirani zake yamepungua sana hii inaonesha stock yake ya makombora inakauka
Sio kukauka tu, bali ni
1. Military base nyingi zimepigwa.
2. Miundombinu ya kurushia imeathiriwa.
3. Molare ya kupambana kwq askari wengi ipo chini saaana.
 
Nimeona political analyst mmoja anahojiwa Al Jazeera anasema vita hii imechukua 4-5 days kwa usa kukamata anga la Iran kwasababu radar ya wairan haizisomi usa 4th-5th generaltion (F-16, F-22 or F-35) planes. Hii inafanya waisrael na usa kujipigia Iran watakavyo. Huyu political analyst anasema ni ngumu kwa iran kushinda
Kama F16 ambazo US anakaribia kuzistaafisha hawezi kuzishusha, basi Iran bado saaana.
 
Huku Viongozi wa ngazi za Juu wa Iran wakiiangamizwa, nimeshuhudia Mashabiki na wafuasi wa Iran hasa wa dini ile waliopo Tanzania, Wakifurahia na kushangilia picha feki zilizotengenezwa na AI. Wanahisi ni vita ya Kidini.. 🤣🤣🤣

Wanaasema eti sasa hivi Israel imebaki majivu tu na watu kibao Israel wamekufa.. Hahahaaa🤣🤣🤣

Wanasahau kabisa Uongozi wa juu wa Iran washaoza muda huu.

Iran supporters wameweka tumaini lao kwenye fake videos of success sababu akili yao imegoma kukubaliana na reality that they already lost.

Trump kashasema hataki mazungumzo tena... Kilichobaki ni kuwala vichwa Iran. Mmoja baada ya mwingine.
View attachment 3552879
We jifurahishe dogo mwambie Israel watu waruhusiwe kurusha video mbona kule Iran hawafichi. Wao Israel wanaogopa nini kama unavyo dai hawasambaratishwi.

US na Israel wanaomba msada kila kona kama maneno yako ni kweli wasinge omba nchi za Europe ziwasaidie. USA na Israel mpaa wamenda omba wale Makurdi wafungue a front line kule western Iran lakini wamefyekwa wote


View: https://youtu.be/_WtMIlP-qgo?si=v9s7cqd5lVXLLNna
 
Vyovyote vile tambua tu kuwa, Nguvu ya kijeshi ya Irani inapita nchi nyingi tu za Ulaya
hivyo; Usiiwapuze....Ni sula la muda tu utaelewa!
Huna uwezo wa kunitoa kwenye mjadala na kunihamishia unakotaka.

Wapi nimeongelea Nchi za Ulaya? Au wapi nimelinganisha Nchi za Ulaya na Iran? Jikite kwenye mjadala.

Je Israel imebaki majivu kama picha mnazosambaza zilivyo?

Je, ni lini mtaacha kusingia watoto kuuliwa pale Waarabu mnaposhindwa kulinda raia wenu?

Huwezi jiita una nguvu za kijeshi kama huwezi linda watoto dhidi ya adui kutoka nje.
 
Ndugu zangu tuacheni propaganda za ajabu. Hivi kweli kwa kutumia akili na elimu ndogo tuliyoipata shule hasa kuhusu US na Israel kuna taifa hapa Dunian kweli linaweza kupambana na huu muunganiko? Hivi kweli kuna mtu aliaminishwa Iran inauwezo wa kupambana na hawa beberu wawili kweli? Hawa wachambuzi wetu Mungu anawaona wamedanganya watu sana hasa vijana wa elf 2 mnsmkuta mtu mzima anatoa macho kwenye chanel yake anahadaa vijana, sisi wa miaka ya 70 na 80 tunawajua hawa jamaa huwa hawashindwi jambo. Wasilolijua watu ni kwamba aliyekomesha slave trade ni US baada ya kuona wanaofaidika ni wengine kisha akaja na sera ya uwekezaji sasa kataa uone. Hawa jamaa wanafitina kwelikweli. Afande Sele aliwahi kusema kushirikana na Amerca ni hatari ila kutoshirikiana naye ni hatari zaidi.
 
Iran ipi hiyo mkuu?
Kama unafuatilia mambo ya kimataifa Israel haikuwa na uwezo hata kidogo wa kuipiga Iran
Israel Inapata kiburi kwa sababu ya kituo cha kijeshi cha marekani kilichojengwa nchini kwake; wabongo wa vivu wa kusoma wanafikiri ni nguvu ya Israel....
Hivi unajua juzi ikulu ya Netanyahu ilisabaratishwa, akaponea chupu chupu na tangu hiyo juzi kajificha sijui yupo kwa matibabu!
 
Yule jamaa yao anaeongozaga mihadhara dokta Sule kawakataa kobaz wenzake kasema ukweli kua istaeli ni taifa teule iran atakula kichapo hata waarabu wote waungane watachapwa ...haya maneno sio yangu ni ya kobaz sule
 
Huku Viongozi wa ngazi za Juu wa Iran wakiiangamizwa, nimeshuhudia Mashabiki na wafuasi wa Iran hasa wa dini ile waliopo Tanzania, Wakifurahia na kushangilia picha feki zilizotengenezwa na AI. Wanahisi ni vita ya Kidini.. 🤣🤣🤣

Wanaasema eti sasa hivi Israel imebaki majivu tu na watu kibao Israel wamekufa.. Hahahaaa🤣🤣🤣

Wanasahau kabisa Uongozi wa juu wa Iran washaoza muda huu.

Iran supporters wameweka tumaini lao kwenye fake videos of success sababu akili yao imegoma kukubaliana na reality that they already lost.

Trump kashasema hataki mazungumzo tena... Kilichobaki ni kuwala vichwa Iran. Mmoja baada ya mwingine.
View attachment 3552879
Kwann Israel wanazuiya picha km hakuna kipondo¿¿¿¿¿¿¿¿
 
Kadiri muda unavyisonga Iran anakata moto!.

Mfano kasi ya mashambulizi kwenye nchi za majirani zake yamepungua sana hii inaonesha stock yake ya makombora inakauka
Sio kweli tatizo lipo kwa Israel kuzuiya MEDIA zisichukue upande wake badala yake tunaona upande mmoja tu wa Iran km hawapigwa kwanini wanazuiya MEDIA ¿¿¿¿¿
 
Sio kukauka tu, bali ni
1. Military base nyingi zimepigwa.
2. Miundombinu ya kurushia imeathiriwa.
3. Molare ya kupambana kwq askari wengi ipo chini saaana.
Vile Iran unaona sasa upande wa pili wanazuiya tusione vip tuta amini ni Iran tu ndio anapigwa!!!!!
 
Yule jamaa yao anaeongozaga mihadhara dokta Sule kawakataa kobaz wenzake kasema ukweli kua istaeli ni taifa teule iran atakula kichapo hata waarabu wote waungane watachapwa ...haya maneno sio yangu ni ya kobaz sule
Wenye akili ndio watajua sababu za Israel kuzuiya media kwake mtu km ww pengine ungeona kipondo kinachotolewa na Iran usingeandika ayo tatizo umezibwa macho!!!
Nimeona political analyst mmoja anahojiwa Al Jazeera anasema vita hii imechukua 4-5 days kwa usa kukamata anga la Iran kwasababu radar ya wairan haizisomi usa 4th-5th generaltion (F-16, F-22 or F-35) planes. Hii inafanya waisrael na usa kujipigia Iran watakavyo. Huyu political analyst anasema ni ngumu kwa iran kushinda
Ndiomana Israel kafunga media kwake tusijue ya kwake jiongeze mkuu!!
 
Back
Top Bottom