Mich you Kasie ulikuwa wapi!? Hope you good... Haya mambo yapo lakini ni mpaka yakutokee kwa hakika ndio utaona sio uzushi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhenga huu..... Poa mwanaNipoo uhenga unanipelekesha hata napotea humu.... nimefurahi kusikia sauti yako.
Ukimuona former Sergio De Souz kwa darubini zako mwambie Kasie anakusabahi. Natumai atakuwa ameshafahamu baadhi ya maneno ya kiswahili.
Ngoja nizipitie hizBiblia inanena kuhusu hali ya wafu
Matendo 17:11, 5:29
Mwanzo 2:7, 4:10
Ayubu 7:9, 16:22, 27:3, 3:13
Muhubiri 12:5-7, 9:5-6
Hosea 13:14
Isaya 57:1-2, 38:18-19
Zaburi 146:3-4, 115:17, 146:4, 6:5
Ezekieli 18:20
Mwanzo 2:7, 3:4, 19
Habakuki 2:11
Yohana 20:17, 5:28-29, 11:25
1 thesolonike 4:16-17
Ebrania 9:27
Yohana 5:25-28 11:11-14, 6:39, 14:1-3
Yuda 1:9 Ufunuo 20:4-8, 16:5
Torati 18:11
Mdo 2:29,34
1 koritho 15:50-57, 6:2-3
Mathayo 19:28
Luka7:11-16
Yakobo 5:4
Mshana jr unakumbuka Mungu aliyemuumba bin-adam alisema hakika utakufa alimaanisha ule mwili (body),kisha pumzi ya uhai,kisha akawa mwanadamu.
A living energy (soul) huwa na makazi mawili au matatuMshana jr unakumbuka Mungu aliyemuumba bin-adam alisema hakika utakufa alimaanisha ule mwili (body),kisha pumzi ya uhai,kisha akawa mwanadamu.
Sasa,wewe,kusema energy unaanisha hiyo energy uenda wapi ktk kutenda kazi,baada ya mwili kurudi mavumbini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko vizuriBiblia inanena kuhusu hali ya wafu
Matendo 17:11, 5:29
Mwanzo 2:7, 4:10
Ayubu 7:9, 16:22, 27:3, 3:13
Muhubiri 12:5-7, 9:5-6
Hosea 13:14
Isaya 57:1-2, 38:18-19
Zaburi 146:3-4, 115:17, 146:4, 6:5
Ezekieli 18:20
Mwanzo 2:7, 3:4, 19
Habakuki 2:11
Yohana 20:17, 5:28-29, 11:25
1 thesolonike 4:16-17
Ebrania 9:27
Yohana 5:25-28 11:11-14, 6:39, 14:1-3
Yuda 1:9 Ufunuo 20:4-8, 16:5
Torati 18:11
Mdo 2:29,34
1 koritho 15:50-57, 6:2-3
Mathayo 19:28
Luka7:11-16
Yakobo 5:4
Wewe ulishajiwa na mpendwa wako yeyote aliyekwishakufa?