Alex jairo
Member
- Jun 13, 2013
- 17
- 3
Mwafrica imefika wakati na sisi tutengeneze dini yetu wenyewe na tuwe na mungu wetu.. Sio kazi yetu kukombatia dini za watu tuuu-na ukizingatia na dini hzo na vitabu vyao vinatutenga- si biblia ya mzungu au koroani ya mwarabu inayomzungumzia mtu mweusi- vyote vinazungumza kuhusu jamii zao,,! Nawalaumu sana mababu zetu kutuacha na mikono mitupu hakuna cha elimu wala imani waliyotuachia, tumebaki kukumbatia tamaduni za watu-ukimwangalia mchina yuko na dini yake. Mhindi yuko na dini yake. Mwarabu pia... ila sisi tu ndio matatizo