duh mjomba wangu Marketing Manger sijui kama kapona - wacha nimpigie simu aje huku tuhangaike pamoja.
Viwanda vyote ambavyo baba wa Taifa alivianshiza sijui kama kitaki hata kimoja, achilia mbali Mashirika ya Umma yote wametafunwa na mengine taabani ( ATC, TRC)
VIVA Tanzania - kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake - ikiwa fupi andika wafwaaa....
Kidumu Chama Chetu.......