Tetesi: Wafanyakazi wa Wasafi Radio wamegoma?

Tetesi: Wafanyakazi wa Wasafi Radio wamegoma?

SIO kweli KIPIND mondi anaa

anzisha wasafi alikua na bifu na clouds isinge kua simple kusaga KUSUPORT, ila KUHUSU share HAPO SAWA jaPO BADO mondi ndio last say,
Wasafi media ina shareholders watatu. Kusaga ana share 50+ ambae katika finance huyu ndie mmiliki mkuu wa kampuni. Diamond ana share 40+ na kuna mtu mwingine ambae simkumbuki ndie ana share hizo zingine.

Share za Kusaga zipo kwa jina la mke wake. Diamond anawekwa front kwa sababu kampuni imejengewa taswira ya brand image yake lakini sio mmiliki wa wasafi.

Ilo bifu la diamond na clouds ndie fursa ambayo kusaga aliiona akatengeneza wasafi kupitia diamond. Hawa wafanyabiashara tunaofikiri wana bifu si ajabu wenyewe wanakutana uko kwenye viwanja vyao wanagonga mvinyo. Kuna tetesi hata clown media ni ya kusaga. Bifu la kiba na diamond jamaa katumia kama fursa
 
Mkuu boss BADO YUPO SANA HAPO na pesa ZIPO, hao ni kiki TU kuwajua hao ngumu sana
Nimethibitisha kwamba ni KIKI baada ya kufungua Instagram kuona wamepostiwa wakiaga ,kuna mdau alisema kwamba wanahama jengo so for now wanapiga muziki tu....Ni Kiki Kabisa watakuja na vipindi vingine maana styles ya uagaji wao naona ni ya BASHASHA.
 
Nimethibitisha kwamba ni KIKI baada ya kufungua Instagram kuona wamepostiwa wakiaga ,kuna mdau alisema kwamba wanahama jengo so for now wanapiga muziki tu....Ni Kiki Kabisa watakuja na vipindi vingine maana styles ya uagaji wao naona ni ya BASHASHA.
Sidhani kama ni hivyo...
 
Diamond platnumzs ataporomoka kama inavyporomoka ligi ya bongo(NBC).
TUPO BIZE TUNAMUOMBEA TUNDULISSU ATOKE GEREZANI
 
Back
Top Bottom