Boss wao domokaya awaambie "wafanye kazi" sio kulalamika lalamika tu.Naona wasafi radio ni muziki asubuhi mpaka jioni, je wafanyakazi wamegoma?
Kwanini huyo kusaga asichukue hatua za kisheria kuhusu huo utapeli wadiamond ?Diamond tapeli Sana anajifanga redio yake kumbe ya Kusaga
Kutaka kujua tuSasa sisi inatuhusu nn mkuu.
Kwanza mm kusikiliza radio au kuangalia tv mara ya mwisho ilikuwa 2022
Mapene yameisha, tuko bize kupambana na icc kwanzaNaona wasafi radio ni muziki asubuhi mpaka jioni, je wafanyakazi wamegoma?
Mkuu mbona una mfinya hivi mna ugomvi naye?Mbona imekuwa mapema sana kuliko ilivyotarajiwa!!?? Ilikuwa ni suala la muda tu hiyo media ife kifo Cha kawaida,hata Domo naye kimuziki ni kama underground tu Kwa Sasa hana mvuto wowote ila ana Force,awekeze kwenye biashara nyingine na asitumie jina lake maana tayari ana gundu la kimavi
Wanataka kutuvurugia Amani tuliyoachiwa na Baba wa TaifaWafanye kazi waache kuleta taharuki mitandaoni na kulalamika.
Mishahara hakuna Mzee,Hali TeteSports Analyst George Ambangile. One of my favorite, ameondoka wasafi rasmi. Nikiona biashara inaanguka hivi roho inaniuma lakini natamani sana kujua sababu for the purpose of learning ase.
Hawajagoma mkuu huo muziki asubuhi, mchana, jioni na usiku ni kumpongeza mama aliepata ushindi wa asilimia 98....Naona wasafi radio ni muziki asubuhi mpaka jioni, je wafanyakazi wamegoma?
Hata sifahamu mkuu, Hajareveal wapi anakwenda. Kuna jambo behind the scenes.Mishahara hakuna Mzee,Hali Tete
Ambangile kahamia wapi?