Haha, sasa unaanza kuua bendi... Mkuu Magezi usijibu hilo hapa, malizaneni PM.
Mi nadhani maoni ya wengi almost yanafanana, lakini bado la kuhama kutoka kwa mhindi mmoja kwenda kwa mwingine sijaona anayelijibu
.
Very interesting kusoma maoni ya watu. Mkuu Wande, hivi wanaopiga juju ni wahindi au wafanyakazi wenyewe kwa wenyewe? LoL