Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,767
- 29,721
Jana katika pita pita yangu na kupanda magari ya mwendokasi nlikutana na mfanyakazi mmoja akiwa amesimama na hataki kuhudumia wananchi, Raia wakawa wanataka kumpiga lakn baadhi ya wasamaria wema wakaona kabla ya kumpiga wamuhoji ndo akaongea mpaka watu wote wakatoka na machozi.
Kwanza alisema wao wanalipwa mishahara kidogo sana mpaka hakuna uhusiano kati ya mishahara ya wakubwa na wao mpaka wale wa chini makao makuu.
Pia akasema hua wanapewa mishahara kwa kujuana kwanza wanaanza wao wakubwa kisha madereva ili wasije wakagoma.
Na pia alisema kuna kabila ndo limekua kama miungu watu kwe kampuni hyo. Ilibidi tumsamehe na kumuonea huruma yule mfanyakazi.
WITO kwa wahusika wa Wizara ya Kazi wajaribu kutembelea wafanyakazi ili kujua matatizo yao na sio kukaa ofisini tu.
Kwanza alisema wao wanalipwa mishahara kidogo sana mpaka hakuna uhusiano kati ya mishahara ya wakubwa na wao mpaka wale wa chini makao makuu.
Pia akasema hua wanapewa mishahara kwa kujuana kwanza wanaanza wao wakubwa kisha madereva ili wasije wakagoma.
Na pia alisema kuna kabila ndo limekua kama miungu watu kwe kampuni hyo. Ilibidi tumsamehe na kumuonea huruma yule mfanyakazi.
WITO kwa wahusika wa Wizara ya Kazi wajaribu kutembelea wafanyakazi ili kujua matatizo yao na sio kukaa ofisini tu.