Wafanyakazi wa supermarket wanahitajika

Wafanyakazi wa supermarket wanahitajika

lawyer2

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
224
Reaction score
67
Salaam wadau. Natafuta wafanyakazi wa supermarket iliyopo Kunduchi Ununio. Sifa ni kama ifuatavyo:-

1. Awe anajua kusoma na kuandika.

2. Akijua computer ni bora zaidi.

3. Awe na umri wa miaka 18 mpaka 35.

4. Awe msafi na mkarimu.

5. Akiwa na ujuzi wa kazi tajwa itakua bora pia.

6. Awe anakaa maeneo ya karibu na Kunduchi ili kupunguza usumbufu wa kuwahi.

Kwa mawasiliano zaidi anichek kwa namba 0689900000 au 0715831919
 
Mkuu, naomba tufanye biashara.Nikutanyie recruitment upate walio bora kabisa lakin utanilipa pesa kidogo ya kurecruit.Kama uko serious 0717122493
 
Salaam wadau. Natafuta wafanyakazi wa supermarket iliyopo Kunduchi Ununio. Sifa ni kama ifuatavyo:-

1. Awe anajua kusoma na kuandika.

2. Akijua computer ni bora zaidi.

3. Awe na umri wa miaka 18 mpaka 35.

4. Awe msafi na mkarimu.

5. Akiwa na ujuzi wa kazi tajwa itakua bora pia.

6. Awe anakaa maeneo ya karibu na Kunduchi ili kupunguza usumbufu wa kuwahi.

Kwa mawasiliano zaidi anichek kwa namba 0689900000 au 0715831919
Naomba nikuuzie Point of sale software ntakujazia bidhaa bure kwenye stystem na training ntafanya bure
 
Hello mkuu..asante kwa ujumbe..naomba nitext kwenye 0689900000 tuongee zaidi
 
Salaam wadau. Natafuta wafanyakazi wa supermarket iliyopo Kunduchi Ununio. Sifa ni kama ifuatavyo:-

1. Awe anajua kusoma na kuandika.

2. Akijua computer ni bora zaidi.

3. Awe na umri wa miaka 18 mpaka 35.

4. Awe msafi na mkarimu.

5. Akiwa na ujuzi wa kazi tajwa itakua bora pia.

6. Awe anakaa maeneo ya karibu na Kunduchi ili kupunguza usumbufu wa kuwahi.

Kwa mawasiliano zaidi anichek kwa namba 0689900000 au 0715831919
Washapatikana wafanyakaz au bado
 
Mkuu mwenyew kapapatikiwa hajib tena khaaaaa, ulkuw unajarb au?
 
Salaam wadau. Natafuta wafanyakazi wa supermarket iliyopo Kunduchi Ununio. Sifa ni kama ifuatavyo:-

1. Awe anajua kusoma na kuandika.

2. Akijua computer ni bora zaidi.

3. Awe na umri wa miaka 18 mpaka 35.

4. Awe msafi na mkarimu.

5. Akiwa na ujuzi wa kazi tajwa itakua bora pia.

6. Awe anakaa maeneo ya karibu na Kunduchi ili kupunguza usumbufu wa kuwahi.

Kwa mawasiliano zaidi anichek kwa namba 0689900000 au 0715831919
Naomba kusupply bites, kama, crisps za ndiz, tambi, karanga za mayai na Ubuyu. 0764595685, 0716751598
 
Back
Top Bottom