Wafanyakazi wa serikali balaaaaaa

Wafanyakazi wa serikali balaaaaaa

mchambakwao

Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
77
Reaction score
14
Hadi leo baadhi ya watumishi wa serikali hawajapokea mishahara yao ya mwezi Octoba.Tatizo ni nn?
 
System jmn ndo inasumbua muwe waelewa jmn
 
Heading yako tu misleading, wafanyakazi wa serikali balaa nikafikiri labda wana hela au sijui kuna nini!!!!

Tatizo la wafanyakazi wa serikali kuchelewa kulipwa mishahara ni system mpya inajulikana kama Epicor09 ambayo imezungua songombingo kwa sasa nchini.

Kuna baadhi ya watu wanaamini kuwa serikali imefulia na ndiyo maana hata baadhi ya idara mafungu yamekuwa hayaji kama yalivyobajetiwa, sasa sijajua kama hali hiyo imepitiliza mpaka kwenye mishahara.

Vuta subira kaka, watumishi wa serikali wafanye mabadiliko ya mind zao kuanza kupokea mishahara kuanzia tarehe 05 - 10 sasa.
 
He.. Nahisi harufu ya maandamano tena.. We Mbetei wewe.. Mie nshakwambia ntafutie nchi nyingine nikaishi, hii ineshageuzwa Tanmaandamano.. kila siku wanaambiwa Na jamhuri mambo ya mishahara yako mahakamani hawapaswi kuyaongelea ..! Wao ooo mishahara yetu mishahara yetu, ukiichunguza mishahara yenyewe hata nauli ya Kimara posta Kwa mwezi haitoshi hata Sijui wanaishije, hapo bado hawajala, bado hawajapitia sinza, bado wengine hawajawalipa ma housegirl Kwa huduma mbadala.. Aisee kaz kweli kweli..
 
Heading yako tu misleading, wafanyakazi wa serikali balaa nikafikiri labda wana hela au sijui kuna nini!!!!

Tatizo la wafanyakazi wa serikali kuchelewa kulipwa mishahara ni system mpya inajulikana kama Epicor09 ambayo imezungua songombingo kwa sasa nchini.

Kuna baadhi ya watu wanaamini kuwa serikali imefulia na ndiyo maana hata baadhi ya idara mafungu yamekuwa hayaji kama yalivyobajetiwa, sasa sijajua kama hali hiyo imepitiliza mpaka kwenye mishahara.

Vuta subira kaka, watumishi wa serikali wafanye mabadiliko ya mind zao kuanza kupokea mishahara kuanzia tarehe 05 - 10 sasa.
Lakini serikali ilifanya maandalizi kabambe kwa ajili ya mfumo huu mpya, ikiwamo na mafunzo kwa maafisa wake. Mwezi uliopita lilitokea tatizo kama hili, tukaahidiwa kuwa litashughulikiwa na ha
litatokea tena... tusubiri mpaka lini jamani!
 
Anaesema tu tune mind zetu nadhani sio mtumishi wa serikali
 
Back
Top Bottom