MPENZI JINI
Member
- Sep 11, 2013
- 12
- 3
Habari zenu ndugu wanajamvi, mada yangu hii ya leo inatokana na matembezi yangu siku ya jana katika kutafuta mkate wa kila siku. Nikaingia benk ya nmb pale kariakoo kupeleka kacheck kangu, sasa baada yakufanya taratibu zote za kudeposit yule kijana alinihudumia akaniandikia nambayake ya simu ili nimpigie aweze kunijulisha itakapokuwa tayari na nimjulishe siku nitakayoenda kuchukua. Sasa kilichinishtua nikwann anipemba yake? Na je maadili ya kazi yao yanaruhusu hayo? Kwa kitendo hicho cha huyo mfanyakazi si kuna uwezekano kukutengenezea hata mazingira ya kufanyiwa ujambazi? Naomba mnisaidie kwa hili wanajanvi.