Wafanyakazi WA Tazara upande WA Tanzania waliokuwa ktk mgomo wa kudai haki zao za msingi kabisa,wametishwa na waziri Mwakyembe kuwafukuza kazi na kulazimika kurejea kazini bila hata ya kusikilizwa,huo Ni udhaifu ndugu zetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.