Wanu
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 353
- 223
Msaada kwa wanasheria.
Kuna kampuni moja mdogo wangu anafanya kazi kampuni hiyo inaitwa KIMANI MINERALS ofisi zake zipo ubungo plaza gorofa ya kumi. Mmiliki wake ni mwalim wa chuo kikuu cha Dar es salaam.
Kampuni ni kubwa sana ila inaelekea kufirisika, wafanya kazi wake hawajalipwa mishahara yao toka mwaka jana mwezi wa 7 cha ajabu jamaa hataki kuwafukuza kazi na kuwapa stahiki zao.
Kuna baadhi kawaachisha kazi na kuwaahidi atawalipa baada ya miezi miwili na hajafanya hivyo na kuna baadhi wamepeleka malalamiko yao katika baraza la usuruhishi ila hadi sasa hakuna kinachoendelea.
Please wanasheria saidieni watu hawa kabla jamaa hajauza mali zake zote na kutokomea kusiko julikana.
Kuna kampuni moja mdogo wangu anafanya kazi kampuni hiyo inaitwa KIMANI MINERALS ofisi zake zipo ubungo plaza gorofa ya kumi. Mmiliki wake ni mwalim wa chuo kikuu cha Dar es salaam.
Kampuni ni kubwa sana ila inaelekea kufirisika, wafanya kazi wake hawajalipwa mishahara yao toka mwaka jana mwezi wa 7 cha ajabu jamaa hataki kuwafukuza kazi na kuwapa stahiki zao.
Kuna baadhi kawaachisha kazi na kuwaahidi atawalipa baada ya miezi miwili na hajafanya hivyo na kuna baadhi wamepeleka malalamiko yao katika baraza la usuruhishi ila hadi sasa hakuna kinachoendelea.
Please wanasheria saidieni watu hawa kabla jamaa hajauza mali zake zote na kutokomea kusiko julikana.