Wafanyabiashara wa maduka Arusha kiama chaja watakiwa kuondoka

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
753
1,812
Halmashauri ya jiji la Arusha imewataka wafanyabiashara wanayomiliki maduka ya halmashauri hiyo kuanza kufungasha mapema na pindi ifikapo machi 30 mwaka huu wawe wameyaachia ili kupisha wenye fedha kuweza kulipa vizuri wapewe..

Ni baada ya halmashauri hiyo kubaini janja ya madalali kumiliki kiasi kikubwa cha maduka na kuyapangisha kwa wafanyabiasha kwa gharama kubwa huku madalali hao wakilipa kiasi kidogo manispaa hiyo.

Mfanyabiashara Morice Makoi anatajwa kumiliki maduka 27 baada ya kukusanya shilingi laki tano hadi nane kwa duka moja kwa mwezi huku yeye akilipa manispaa sh, milion 50 tu kwa mwezi, jambo ambalo halmashauri hiyo chini ya meya Kalist Lazaro umesema itahakiisha inakonesha mara moja na kuwakabidhi wafanyabiashara wengine kwa mfumo wa tenda mwenye kisu kikali ndio mwenye kula nyama.

426db9b29302adfa2c1d142032d5cac9.jpg
 
Safi! Halmashauri inatakiwa isimamie vitega uchumi vyake kwa umakini mkubwa! Bravo Mayor Kalist
 
Halmashauri ya jiji la Arusha imewataka wafanyabiashara wanayomiliki maduka ya halmashauri hiyo kuanza kufungasha mapema na pindi ifikapo machi 30 mwaka huu wawe wameyaachia ili kupisha wenye fedha kuweza kulipa vizuri wapewe..

Ni baada ya halmashauri hiyo kubaini janja ya madalali kumiliki kiasi kikubwa cha maduka na kuyapangisha kwa wafanyabiasha kwa gharama kubwa huku madalali hao wakilipa kiasi kidogo manispaa hiyo.

Mfanyabiashara Morice Makoi anatajwa kumiliki maduka 27 baada ya kukusanya shilingi laki tano hadi nane kwa duka moja kwa mwezi huku yeye akilipa manispaa sh, milion 50 tu kwa mwezi, jambo ambalo halmashauri hiyo chini ya meya Kalist Lazaro umesema itahakiisha inakonesha mara moja na kuwakabidhi wafanyabiashara wengine kwa mfumo wa tenda mwenye kisu kikali ndio mwenye kula nyama.

426db9b29302adfa2c1d142032d5cac9.jpg
Jaribu kutafuta historia ya hayo maduka maana Manispaa haikuwahi kujenga maduka; hao unaowahita madali ndio waliojenga hayo maduka ama kuyanunua kwa waliyoyajenga. They are beneficial owners
 
Halmashauri ya jiji la Arusha imewataka wafanyabiashara wanayomiliki maduka ya halmashauri hiyo kuanza kufungasha mapema na pindi ifikapo machi 30 mwaka huu wawe wameyaachia ili kupisha wenye fedha kuweza kulipa vizuri wapewe..

Ni baada ya halmashauri hiyo kubaini janja ya madalali kumiliki kiasi kikubwa cha maduka na kuyapangisha kwa wafanyabiasha kwa gharama kubwa huku madalali hao wakilipa kiasi kidogo manispaa hiyo.

Mfanyabiashara Morice Makoi anatajwa kumiliki maduka 27 baada ya kukusanya shilingi laki tano hadi nane kwa duka moja kwa mwezi huku yeye akilipa manispaa sh, milion 50 tu kwa mwezi, jambo ambalo halmashauri hiyo chini ya meya Kalist Lazaro umesema itahakiisha inakonesha mara moja na kuwakabidhi wafanyabiashara wengine kwa mfumo wa tenda mwenye kisu kikali ndio mwenye kula nyama.

426db9b29302adfa2c1d142032d5cac9.jpg
Aisee huyo mfanya biashara noma yani analipa manispaa pesa zaidi anayokusanya kwa frem zote 27
 
Back
Top Bottom