Wafanyabiashara Arusha wavunjiwa vibanda

Wafanyabiashara Arusha wavunjiwa vibanda

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,054
Reaction score
3,263
Katika hali isiyo ya Kawaida ,mgambo wa Jiji wamevunja na kuharibu vibanda vyote vya matunda vilivyoko Mtaa wa Serengeti ,opposit kidogo na hotel ya East Africa kama unaelekea Kijenge ukitokea mjini ,karibu kabisa na Round about ya Impala.

Mgambo hao wametoa kila kitu ,huku matunda hayo yakimwaga bila utaratibu maalunu .
Wananchi wanaendelea kulaumu kwa wananyofanyiwa na wanamgomva hao kila kukicha ,wengine wakidai kudhalilishwa.

Eneo hilo ni sehemu ya Chama Chama mapinduzi ! Ni pigo kwa wanachama wa chama hicho ,kudhalilishwa na kuharibuwa biashara zao walizokua wanategemea .

Polebi nyote mliokumbwa na mkasa huo.
 
Kwani yanafanywa hayo yote mbunge wa arusha mjini anafanya nini kuwatetea watu wake ukiona yupo kimywa anashirikiana na hao wanamgambo.
 
Kama nieneo la ccm acha wawafukuze tuu waende eneo LA lema
 
Katika hali isiyo ya Kawaida ,mgambo wa Jiji wamevunja na kuharibu vibanda vyote vya matunda vilivyoko Mtaa wa Serengeti ,opposit kidogo na hotel ya East Africa kama unaelekea Kijenge ukitokea mjini ,karibu kabisa na Round about ya Impala.

Mgambo hao wametoa kila kitu ,huku matunda hayo yakimwaga bila utaratibu maalunu .
Wananchi wanaendelea kulaumu kwa wananyofanyiwa na wanamgomva hao kila kukicha ,wengine wakidai kudhalilishwa.

Eneo hilo ni sehemu ya Chama Chama mapinduzi ! Ni pigo kwa wanachama wa chama hicho ,kudhalilishwa na kuharibuwa biashara zao walizokua wanategemea .

Polebi nyote mliokumbwa na mkasa huo.

Cc Msalani ndio Maisha bora kwa Kila Mtanzania?

 
Mkoa mzima ccm wamekataliwa kwa hiyo nadhani wameamua na wao kuchukua vyao, na bado maana mzimu ule ule wakukataliwa unaelekea maeneo ya tanga hususani muheza na kwingineko

lazima ccm wapatwe na kichaa cha mbwa
 
tunawaomba viongozi wa ccm wachukue hatua kwa hawa wanamgambo waliovunja vibanda vya mama zetu kwani eneo hilo walilpewa na chama, na walihaidi kuwepo na usafi wa hali ya juu kilingana na mazingra ya uzunguni,

tayari viongozi husika wameshaanza kufanyia kazi tukio hilo, ccm haitakubali wanachama wake kunyanyasika katika nchi yao,

kama lema ndio kawatuma mwambieni imakula kwakwe
 
tunawaomba viongozi wa ccm wachukue hatua kwa hawa wanamgambo waliovunja vibanda vya mama zetu kwani eneo hilo walilpewa na chama, na walihaidi kuwepo na usafi wa hali ya juu kilingana na mazingra ya uzunguni,

tayari viongozi husika wameshaanza kufanyia kazi tukio hilo, ccm haitakubali wanachama wake kunyanyasika katika nchi yao,

kama lema ndio kawatuma mwambieni imakula kwakwe


Hakuna ccm Arusha Ilisha deletiwa sikumingi sana
 
Mkoa mzima ccm wamekataliwa kwa hiyo nadhani wameamua na wao kuchukua vyao, na bado maana mzimu ule ule wakukataliwa unaelekea maeneo ya tanga hususani muheza na kwingineko

lazima ccm wapatwe na kichaa cha mbwa

wewe ujui unachokisema, hili eneo wengi wa wafanya biashara ni wanachama wa ccm, na kwa taharifa yako ccm haitakubali kamwe siasa chafu mnazofanya chadema kwa kuwanyanyasa na kuwazalilisha wanachama wetu, tutawatetea mpaka tone la mwisho hadi wapate haki yao,
 
wewe ujui unachokisema, hili eneo wengi wa wafanya biashara ni wanachama wa ccm, na kwa taharifa yako ccm haitakubali kamwe siasa chafu mnazofanya chadema kwa kuwanyanyasa na kuwazalilisha wanachama wetu, tutawatetea mpaka tone la mwisho hadi wapate haki yao,

Naona lile Zimwi la Mtifuano la CCM Arusha limefikia Mpaka kwa Wafanya Biashara wao Na Baado zimwi litawandama sana
 
Hapo si kando ya barabara jamani? Litakuwaje eneo la CCM? Duh
 
Naona lile Zimwi la Mtifuano la CCM Arusha limefikia Mpaka kwa Wafanya Biashara wao Na Baado zimwi litawandama sana

ccm na maisha ya watu ni kitu ambacho uwezi kutengenisha, cdm inafanya siasa za kuigiza(impracticable) , wakati ccm automatikik inareflect maisha halisi ya mtanzania, siasa za kulaghai hazina nafasi tena, mabomba kutoa maziwa kila mahali ni siasa za kilaghai na hazina nafasi tena, lets us walk the walk and talk the talk,
 
Ni huzuni kubwa. .

Wengine wamechukua mikopo kwa ajili ya hiyo biashara leo serikali "sikivu" imewageuka wapiga kura wake.
 
Ni huzuni kubwa. .

Wengine wamechukua mikopo kwa ajili ya hiyo biashara leo serikali "sikivu" imewageuka wapiga kura wake.

Inaonekana wewe ni mwanakikoba mzuri. Kwanza tukianzia na ID yako "Marejesho" pili maoni yako "Wengine wamechukua mikopo kwa ajili ya hizo biashara"

Pole sana Bw. Marejesho, kwani akipandacho mtu ndicho akivunacho. Na hao wauza matunda si walikuwa wanaikumbatia ccm (dhuluma) wacha wavune walichokipanda kwani huu ndo msimu wenyewe.
 
wewe ujui unachokisema, hili eneo wengi wa wafanya biashara ni wanachama wa ccm, na kwa taharifa yako ccm haitakubali kamwe siasa chafu mnazofanya chadema kwa kuwanyanyasa na kuwazalilisha wanachama wetu, tutawatetea mpaka tone la mwisho hadi wapate haki yao,

Mgambo wametumwa na meya wakichina -ambae ni ccm. Kamanda Lema mlishazushia kesi kwa kuwatetea wafanyabiashara ndogo ndogo kama hizo (na kesi haijaisha), leo nyie mgeuke watetezi wa wafanyabiashara wadogo?
 
Back
Top Bottom