Wafanyabiashara Arusha wavunjiwa vibanda

Wafanyabiashara Arusha wavunjiwa vibanda

ccm na maisha ya watu ni kitu ambacho uwezi kutengenisha, cdm inafanya siasa za kuigiza(impracticable) , wakati ccm automatikik inareflect maisha halisi ya mtanzania, siasa za kulaghai hazina nafasi tena, mabomba kutoa maziwa kila mahali ni siasa za kilaghai na hazina nafasi tena, lets us walk the walk and talk the talk,

Zile Fitna zenu Mlizokua Mnamfanyia Lema na Chadema kwa Ujumla Arusha sasa Ndio zinawarudi na Baado Lazima Mtoke vipande vipande kama gazeti

 
Mkuu, hao wauza matunda walikuwa wanajidai sana huku wakipeperusha bendera za kijani. sijui hao migambo hawakuona hizo bendera?

Watu wanadhani ukiingia mkataba na shetani basi shetani atauheshimu vipengele vya mkataba huo siku zote!
 
ccm na maisha ya watu ni kitu ambacho uwezi kutengenisha, cdm inafanya siasa za kuigiza(impracticable) , wakati ccm automatikik inareflect maisha halisi ya mtanzania, siasa za kulaghai hazina nafasi tena, mabomba kutoa maziwa kila mahali ni siasa za kilaghai na hazina nafasi tena, lets us walk the walk and talk the talk,

I agree. ccm inajua haiwezi kufanya kitu chochote kuwatoa Watanzania kwenye umaskini wa kulazimishiwa huku wakiwa wamezungukwa na kila aina ya rasilimali. So "to walk the walk" ya ccm hii ya kikwete na genge lake ni kupora kila kitu unachokiona na asie na uwezo wa kupora huyo "shauri lake". Afterall si wajinga hao hao si ndio waliowezesha ccm kukaa madarakani?

Unfortunately kwenu ccm hii; kidogo kidogo hali halisi ya maisha ya Watanzania wa kawaida inawaamsha toka lindi la ujinga. Mjinga akierevuka, mwerevu yu taabuni!
 
Police wa Arusha na wagambo wamekua waki wazalilisha machinga na vitu vyao nakunamtu anatengenezewa njia ya kua Mbunge anaitwa monabani huyu police wakiwakamata machinga yeye akienda tu anawatoa na anawmbia achaneni na CHADEMA mwakan nichagueni mimi kwa ccm,so njia hiyo imeonekana kuwa huwenda ikawasaidia Rc, DC,Ocd, rpc nk,wamethibitika kufanya njama hizi, ujumbe wangu kwao nikua wauvue uheshimiwa waje majukwaani wasijifiche kwenye migongo ya vyeo,me nimratibu vijana msingi wa stendi,CHADEMA na mtu hafi Mara mbili
 
Ndugu Wanajukwaa baada ya kuhitimisha sabato yangu Leo naomba kuzungumzia kinachoendelea Arusha kwasasa

Madiwani Wa chadema Arusha ndiyo wengi na vikao vya halmashauri ndiyo vinapanga mambo ya jiji madiwani walikaa na kupiga marufuku machinga mjini Kama ilivyoada Baraza likishaa tunga sheria na kuazimia Kazi ya watendaji na serikali ni kutekeleza

Madiwani Wa Chadema walipanga kuwaondoa machinga na wamama wanaouza vitu barabarani serikali sikivu ya ccm ilipoanza kutekeleza madiwani hao na Mbunge wao asiye elewa nini maana ya vikao vya halmashauri na sheria zake wanaanza kulalamika juu ya watu kuonewa wakati wao ndiyo wamepanga maonezi hayo

Leo kilichotokea bara bara ya uzunguni kinahuzunisha Sana maana Mbunge aliwadanganya wauza matunda wakaidi amri halali ya serikali kilichowapata matunda yametumpwa na meza zao kukamatwa

Poleni Sana wauza matunda Wa impalla Lema. Ndiye adui wakipato chetu machinga na wamama Wa sokoni
 
Mnafanya haya ili mpate kukichafua chama, jeuri hii mnawafanyia watu wasioweza kupambanua mambo? Kuweni na hofu ya mungu, ulioandika hapa ni upumbavu, na wewe ni mjinga, hufai hata kuendelea kuishi. Unaleta propagada hapa wakati unafahamu kuna watu biashara zao ccm mmeziharibu, biashara hizo ndizo zikidhi mahitaji ya watoto, chakula cha familia nk, harafu unatuletea ujinga wako hapa, huna akili
 
Naona mleta mada umevurugwa hujielewi,hivi meya wa jiji la arusha ni wa chama kipi? Acheni kufanya siasa za kishamba na kijinga kiasi cha kujidharilisha namna hiyo! Tumeambiwa kuwa jana madiwani walipanga kukutana ili kujadili na kulipatia ufumbuzi tatizo hilo lakini cha ajabu magamba yakiongozwa na meya weo yakaingia mitini ili wananchi waendelee kuumia huku yenyewe yakija na hizi siasa za kichovu.kumbukeni kuwa wana arusha tunajitambua na tunajua hizi ni hila za magamba na upuuzi wa hii serikali yao chakavu.
 
Kwahyo mnakomoa wananchi kwa sababu walichagua CDM kuwafanyia makusudi ili warudi magambani au hafu unashabikia watu kuharibiwa sehemu ya kupatia mkate wa kila siku na mahitaji muhimu kisa siasa za kishenzi ama kweli mnaleta mada umevurugwa kweli ila nadhani ni tatizo la Iq ndogo na ubinafsi kukomesha wananchi
 
attention seeker
Mzushi na mpotoshaji wewe

Acha wehu wako wewe!
CHADEMA si kila siku inajitapa kuwa ndio inamiliki jiji la Arusha?
Leo baada ya tukio la kuvunjiwa, kudhalishwa, na kuibiwa mali zao na mgambo wa jiji, akina mama wetu pale JACARANDA unakana?
Acha mambo ya kitoto Ephata!
 
Naona mleta mada umevurugwa hujielewi,hivi meya wa jiji la arusha ni wa chama kipi? Acheni kufanya siasa za kishamba na kijinga kiasi cha kujidharilisha namna hiyo! Tumeambiwa kuwa jana madiwani walipanga kukutana ili kujadili na kulipatia ufumbuzi tatizo hilo lakini cha ajabu magamba yakiongozwa na meya weo yakaingia mitini ili wananchi waendelee kuumia huku yenyewe yakija na hizi siasa za kichovu.kumbukeni kuwa wana arusha tunajitambua na tunajua hizi ni hila za magamba na upuuzi wa hii serikali yao chakavu.
Kwenye Mazuri CHADEMA wanajiweka mbele!
Ila kwenye mambo kama haya CHADEMA wanakaa nyuma kama mkia!
Si kila siku mnajisifu hapa kuwa CHADEMA ndio watawala wa jiji la Arusha?
Sasa hii Amri ya kuwaondoa hawa wafanyabiashara hapo JACARANDA imetoka wapi kama sio manispaa ya jiji?
Madiwani wa CHADEMA hawakuhusika na maamuzi haya?
Ifikie mahali CHADEMA muache maigizo na kuwarubuni wananchi!
 
Siwapendi CHADEMA sababu ya mapimbi kama akina Nanyaro Ephata , wanakaa kwenye kikao wanakubaliana jambo , halafu akifika kwa wananchi anajifanya hakuwa mmoja wa waamuzi wa hilo jambo! Huu ni utoto wa hali ya juu!
 
Last edited by a moderator:
we tulia, utaipenda tu chadema, uhalo unaotoa utaisha tu, ccm mtaishi kwa wizi na uharamia mpaka lini? hata wewe unafahamu kuwa zenu zimeisha, sa hivi mnapiga kelele tu wala hamna lolote


Siwapendi CHADEMA sababu ya mapimbi kama akina Nanyaro Ephata , wanakaa kwenye kikao wanakubaliana jambo , halafu akifika kwa wananchi anajifanya hakuwa mmoja wa waamuzi wa hilo jambo! Huu ni utoto wa hali ya juu!
 
we tulia, utaipenda tu chadema, uhalo unaotoa utaisha tu, ccm mtaishi kwa wizi na uharamia mpaka lini? hata wewe unafahamu kuwa zenu zimeisha, sa hivi mnapiga kelele tu wala hamna lolote

Ungekuwa unajua shughuli za serikali zinaendeshwaje usingekuwa unapelekwa pelekwa kama mdoli na hawa walaghai!
 
Acha wehu wako wewe!
CHADEMA si kila siku inajitapa kuwa ndio inamiliki jiji la Arusha?
Leo baada ya tukio la kuvunjiwa, kudhalishwa, na kuibiwa mali zao na mgambo wa jiji, akina mama wetu pale JACARANDA unakana?
Acha mambo ya kitoto Ephata!

Huo ni ujanja wenu wa kuifanya Chadema ichukiwe na wananchi.
 
Back
Top Bottom