Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,265
- 3,177
Ha ha ha hatupendi kiki.Wahehe tupo vizuri sana sema hatujitangazi kama wachagga
Ha ha ha hatupendi kiki.Wahehe tupo vizuri sana sema hatujitangazi kama wachagga
Wahehe tupo vizuri sana sema hatujitangazi kama wachagga
Nshomile mmekwama wapi? Mambo ya DSE, NYSE, LSE, DOW JONES si ndiyo mambo yenu haya? Mmewacha Wachagga waoneshe dharau zao na nyie mpo?Hongera zao.
But naona wao wengi wamewekeza kwenye mafuta na mabenki .
It seems Kuna hela Sana huko
Sawa tu hata Korea na China wanakula. Tatizo lipo wapi?Kuleni mbwa mzee.
Hawali mbwa koko lkn.Sawa tu hata Korea na China wanakula. Tatizo lipo wapi?
Numbers done lieWahehe tupo vizuri sana sema hatujitangazi kama wachagga
12 km siyo mchezo. Toka wapi hadi wapi unajog?Mkaldayo nilikuwa matizi aseee najog km 12 daily. Ila nimeona hapo juu umeshapewa majibu.
Nipo pori moja huku Geita12 km siyo mchezo. Toka wapi hadi wapi unajog?
Mimi ndo nataka niingie katika hiyo list SasaNshomile mmekwama wapi? Mambo ya DSE, NYSE, LSE, DOW JONES si ndiyo mambo yenu haya? Mmewacha Wachagga waoneshe dharau zao na nyie mpo?
Mkuu mm ni mchaga by ogNi sawa na mtu anavyoshangilia ubingwa wa Chelsea, akiwa hapa kwetu Kitelewasi, iringa
Nenda kauliwe..labda uendelee kuwa masikini hivyo hivyo..ukipata mali off you go.These Chagga aisee,ndo maana nawaza kuoa Massawe
Signature yako inaonesha wewe ni mtu wa aina gani..Nenda kauliwe..labda uendelee kuwa masikini hivyo hivyo..ukipata mali off you go.
#MaendeleoHayanaChama
Vp Wana wagawia hizo pesa uko KLM.sifa zingine za kijinga tu
Kila la heriMimi ndo nataka niingie katika hiyo list Sasa
Hebu niichimbe vzr hii kitu halafu niwekeze.
Done lie=Numbers done lie
Tuchukue group la wachagga wanao uza nguo kariakoo alafu tuwalinganishe na wakinga.Washamba wanakuja kulinganisha wachaga na wakinga.