Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 675
We Vp ! Unauliza mipango CCM ?.. Wale Washkaji Zao ina maana hujui au ? ndiyo maana wanakwambia majini yalisilimu yakawa waislam
teheee
We Vp ! Unauliza mipango CCM ?.. Wale Washkaji Zao ina maana hujui au ? ndiyo maana wanakwambia majini yalisilimu yakawa waislam
kwani majini kusilm nijambo baya? wehujui uliza majini wametahajwa zaid yamara 20kweny bible malaika wameelkza dawa zakupnga mappo tibiti6:1-8 na 8;1-3.mambo yaramli ymetajwa samwel1sura28aya ya3-20.yesu alielekrza kupnga majini mathayo8;28-34.namathayo17:14-21..majini pia walmwamin yesu soma marko3;11.pia walitii wanafunzi kwajina la yesu luka10:17.paulo pia alipeleka wanafunzi wakekwashetani wafundishwe wasimtukane mungu timotheo wakwnza1:18-20.hao majn niviumbe na tunaish ktk ulimwngu mmoja kwamujbu wavtbu vyte ndomna ktk biblia walaw17:1-7 MAJNI WALZNI NA WANAISRAEL SO WAO KUAMIN NIHAKI YAO NDOMANA KUNA MAJINI KILA DINI KILA KABILA NAHAYO YMESEMWA NABIBLE HATA KABLA MUHAMMAD HAJZALIWA IKIWA WACHAW WALIAMIN MFNO SIMON SOMA MITUME8:9-11.NAHATA MAPEPO WALITII VP KWNYE QURAN IONEKANE NDO AJBU NA MTAMBUE UISLAM NDODINI ILIPINGA VIKALI USHIRIKINA KULKO DN NYNGNE YYTE aya ya3 ktk sura yatano na aya yatisini ktk sura hiyohiyo mwmungu amesema wazi.quran haiusiki na uganga wala kupunga imesemwa wazi sura ya6 aya112.tujitahidini tusome tusifate mkumbo kmakuna mtu anahitaj ufafanuzi zaid anitfte mana naandka kifup sabbu nnamambo mngi yananizonga nakwakua kuna vitabu vingi nshaandika kuhusu haya mambo sioni sabbu yakujaza jukwaa mtuakitaka hoja avitafute then ataelewa vzuri
ndugu yangu nafikiri umeusoma kwa gadhabu ndio maana umeshindwa kuuelewa ni wapi niliposema wachawi wanakutana kila ijumaa?? na pia ninaposema makanisa ya kiroho simaanishi makanisa yote maana kuna makanisa ambayo si ya kiroho japo ni makanisa,lakini pia unaposema wapo wanaotumia biblia kufanyia ulozi mi nafkiri quran imekuchanganya ndgu yangu ndo mana huwezi kuta hata mganga anatumia biblia kwnye kilinge chake cha uganga?? na kama ushawahi kumuona mtu anatumia biblia kuponya basi jua huyo ndo mlokole tunaemzungumzia maana kinachoponya si hio biblia bali ni neno lililoandikwa humo lakini hao tunalowaskia wanaitwa waganga wa vitabu ni vitabu gani wanavyotumia??
they do exist mkuu....
Simulizi yako haina mashiko
Pale ulipo sema ijumaa wachawi aw logi kwasababu ya uwapo wa mikutano ya kilokole siku hiyo, sioni kama kuna ukweli maana ulokole hasa nchi zetu hizi umekuja juzi tu na uchawi upo tangu enzi sasa ijumaa kabla ya ulokole walokua wanaloga?
Maneno kwenye khanga yapo pia.
This is some shallow answer.
Merengo90 katika andiko lako hapa kuna kitu nimejifunza
MUNGU akubariki sana
Usijali hyo ni case ndogo tu but everything is alright.
Mkuu inamaana wewe huamini katika mambo haya kama yanaexist??
Nasubiri urudi mjini..maana haya mambo bhana ni hatari..Ila sijaona unawaongelea waislam umeongelea Ukristo tu.
Inawezekana mkuu japo sinaufahamu khsu hili lako maana pia wapo wachawi wakristoWewe acha kutuzingua, unadai wachawi hawarogi ijumaa eti kwa kuwa walokole wanakesha kanisani, kwa nini usiseme hawawangi kwa kuwa ijumaa ni siku tukufu kwa waislamu wanafanya ibada kwa wingi!?
Anapiga debe kwao ili wapate wanachama wengi sadaka iongezeke.
Pia anaamini kuwa wakristo pekee wataenda mbinguni.
Huyu atakuwa anaongozwa na sio kuongozwa mana uelewa na dini haujui
kwani majini kusilm nijambo baya? wehujui uliza majini wametahajwa zaid yamara 20kweny bible malaika wameelkza dawa zakupnga mappo tibiti6:1-8 na 8;1-3.mambo yaramli ymetajwa samwel1sura28aya ya3-20.yesu alielekrza kupnga majini mathayo8;28-34.namathayo17:14-21..majini pia walmwamin yesu soma marko3;11.pia walitii wanafunzi kwajina la yesu luka10:17.paulo pia alipeleka wanafunzi wakekwashetani wafundishwe wasimtukane mungu timotheo wakwnza1:18-20.hao majn niviumbe na tunaish ktk ulimwngu mmoja kwamujbu wavtbu vyte ndomna ktk biblia walaw17:1-7 MAJNI WALZNI NA WANAISRAEL SO WAO KUAMIN NIHAKI YAO NDOMANA KUNA MAJINI KILA DINI KILA KABILA NAHAYO YMESEMWA NABIBLE HATA KABLA MUHAMMAD HAJZALIWA IKIWA WACHAW WALIAMIN MFNO SIMON SOMA MITUME8:9-11.NAHATA MAPEPO WALITII VP KWNYE QURAN IONEKANE NDO AJBU NA MTAMBUE UISLAM NDODINI ILIPINGA VIKALI USHIRIKINA KULKO DN NYNGNE YYTE aya ya3 ktk sura yatano na aya yatisini ktk sura hiyohiyo mwmungu amesema wazi.quran haiusiki na uganga wala kupunga imesemwa wazi sura ya6 aya112.tujitahidini tusome tusifate mkumbo kmakuna mtu anahitaj ufafanuzi zaid anitfte mana naandka kifup sabbu nnamambo mngi yananizonga nakwakua kuna vitabu vingi nshaandika kuhusu haya mambo sioni sabbu yakujaza jukwaa mtuakitaka hoja avitafute then ataelewa vzuri
Naamini kuna shetani ila mlicho andika humu na merengo90 ni Riwaya tu.
Mngenibadili mtazamo na msimano wangu kama mngeni onyesha how exactly u guys proved the existance of these things u say.
Take Note:
Mimi ni Mkristo hai (swala 5 daily). Nina amini kuna Mungu muweza ya yote. Naku challenge tu ulicho andika humu.
unajua tatzo la watu ni kwamba wanatakaga tu kupinga kwa kila kitu