fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,896
- 6,072
Kwa ajili ya wadudu au?MUNGU FUNDI
Kwa ajili ya wadudu au?MUNGU FUNDI
Weupeeee sanaaa kama Funza , nimeshangaaaa sana kuwaonaWadudu wakubwa wanafanana na pupa wa vipepeo.
Ha ha ba ha haWatu wa Kimara nadhani hii habari hawajaipata.
Wanapenda supu ya vichwa vya mbuzi balaa.



ukiwa mwanaccm lazima uwe nao, lazimaInasemekana hata binadamu anao hao wadudu
umetisha banaa,umeshakula Hadi supu ya ntu aseeeeh🙄
Wewe siyo mzoefu wa hayo makitu!Umeuziwa cha kondoo mkuu ndo huwa kuna wadudu
Napenda sana supu ya vichwa vya mbuzi
Ahsante sanaaaWewe siyo mzoefu wa hayo makitu!
Yaani unavyopenda supu ya kichwa cha mbuzi, leo ukiletewa cha kondoo waweza kushindwa kutofautisha?
Hayo mafunza ni kwa mbuzi, kondoo hadi wanyama pori nyemela, pongwe na nyumbu unayakuta kibao tu.
Hata hivyo comment #20 kafafanua kitaalamu hao funza wanaingiaje kwenye vichwa vya wanyama jamii ya swala, wafugwao na wa mwitu.
Pia swali hili lilishaulizwa mara nyingi sana humu na kujibiwa na wataalamu wabobezi
Tutake radhiInasemekana hata binadamu anao hao wadudu
Utamiss vitamins.Dah nitaishia supu ya nyama tu
Mkuu Ahsante Sana. JF ni Bonge la Darasa. Yaani Nimepata Ufahamu wa Kisayansi,kumbe hawa tuwaitao WADUDU ni MINYOO!!Hawa ni mnyooView attachment 2264956
Huo Ni ugonjwa...sio mbuzi/kondoo wote Wana funza.MUNGU FUNDI
Hadi bongo za wanaume wanaoteswa na mapenzi zina wadudu, tena midudu washa!Acha uongo mkuu.
Karibia kila kichwa cha beberu mkubwa kina waduu. Sijui wa kazi gani wale aisee!!!!
Hao ndio wanacontrol akiliLeo nimenunua Kichwa cha Mbuzi Vingunguti, ile kukipasua na kuanza kuchemsha ghafla naona wadudu..
Hii ikoje wakubwa,
Kama ni kawaida na binadamu pia ubongo unawadudu