Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
wadau Hivi Hii Case No EC 4/2011 MAHAKAMA YA MOSHI inatosha kweli Kutumbumbaza why Not invoke Article 30 of Constitution? LHRC mtikila wapo? Jamani Wale wanyama wapo huko United states Arabs kuna jimbo near to Dubai wana special mbuga ya wanyama Weng walichukuliwa Loliondo. Jana nimetoka huko huwezi Amini mpaka Gazel wapo Huko nadhan soko la utalii Tanzania ndo basi. Wadau mnasemaje?↲
Submited
Submited