Jskinondo
Member
- Jan 9, 2020
- 36
- 34
Habari za leo, natumaini nyote mpo vizuri.
Kama kichwa kinavyo someka, lengo kuu la kutaka tukutane hapa ni kuwaambia wadau wanaoitaji kununua iliki kuwa mzigo upo wa kutosha.
Hiliki inapatikana kwa jumla na rejareja, bei ya reja reja ni 25000 kwa kilo na bei ya jumla ni 22500 kwa kilo.
Kwa anaye hitaji tuwasiliane kupitia 0746756229.
Note: Naitaji watu wanao hitaji hiliki sio madarali wa hiliki. Nasema ivo sababu wapo walio sema wananua iliki tukapanga waje waone mzigo baada ya kuona mzigo kumbe hawana ela,walitumwa na maboss matajiri waje waone mzigo then wanatumiwa ela.
Matokeo yake mzigo wame uona lakini ela hawakutumiwa finally wanakosa ata nauli ya kurudi kwao.
Leo nitawahifadhi ila wakija madarali tena next time nitawataja majina na sehemu waliko toka.
Kama kichwa kinavyo someka, lengo kuu la kutaka tukutane hapa ni kuwaambia wadau wanaoitaji kununua iliki kuwa mzigo upo wa kutosha.
Hiliki inapatikana kwa jumla na rejareja, bei ya reja reja ni 25000 kwa kilo na bei ya jumla ni 22500 kwa kilo.
Kwa anaye hitaji tuwasiliane kupitia 0746756229.
Note: Naitaji watu wanao hitaji hiliki sio madarali wa hiliki. Nasema ivo sababu wapo walio sema wananua iliki tukapanga waje waone mzigo baada ya kuona mzigo kumbe hawana ela,walitumwa na maboss matajiri waje waone mzigo then wanatumiwa ela.
Matokeo yake mzigo wame uona lakini ela hawakutumiwa finally wanakosa ata nauli ya kurudi kwao.
Leo nitawahifadhi ila wakija madarali tena next time nitawataja majina na sehemu waliko toka.