Wadau wa chelsea mpo?

Wadau wa chelsea mpo?

DEKABOY

Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
38
Reaction score
7
Benitez anatuzingua, ila habari njema kwa wadau wote ni kuwa "THE SPECIAL ONE" anarudi na anakuja na R.Falcao. Nimesoma kwenye mtandao kocha wa Young boyz yaan ARSENAL ameisha anza kuhaha... Big up to all Chelsea fans.
 
Benitez anatuzingua, ila habari njema kwa wadau wote ni kuwa "THE SPECIAL ONE" anarudi na anakuja na R.Falcao. Nimesoma kwenye mtandao kocha wa Young boyz yaan ARSENAL ameisha anza kuhaha... Big up to all Chelsea fans.

Lazima watashinda Europa mwakani na huyo Falcao khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee naona wanakimbia ngoma ya wakubwa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom