Nakubaliana na wewe, matunzo ni kitu muhimu sana.Manufacturer mwaka gani??
Hata Mimi nimeipenda hiyo gari alafu IPO juu juu kifamilia zaidi..
Ukifanya service Kwa wakati na kuitunza vizuri hapo haina shida zile dhana za kusema gari imara kama treni haipo,kitu kikubwa Kwenye umiliki wa Magari ni utunzaji tu
View attachment 1225403nimevuta huyo mnyama mark x Zio ...wenye uzoefu vp mnyama hana usumbufu (2Az engine ,cc2360
Habari Za kazi kiongozi
Vipi hii gari unashauri vipi mtu akitaka kununua ni nzuri ? Hasa kwa masafa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hongera kwa kuvuta mnyama, achana na habari za kutafuta kasoro za mnyama wako. Kama ukiamua kutafuta kwa bidii utafaulu tuView attachment 1225403nimevuta huyo mnyama mark x Zio ...wenye uzoefu vp mnyama hana usumbufu (2Az engine ,cc2360