Pole sana, tigonwan vimechezo vibaya mi mwenyewe wamenitenda, though casenyangu ni tofauti kidogo, mi nilinunua bundle ya 30,000 yenye internet na sms 1000, hah nimeshangaa kesho yake naambiwa nimemaliza sms zote 1000! Hadi nikahesabu sms maana sikua nimefuta zikaishia 100 nikapiga nikaambiwa baada ya masaa 24, sikusaidiwa, nikapiga wapi, inaniuma big tyme. Ukipata solution/cha kuwafanya niambie tushirikiane