sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
Uciku wa kuamkia tarehe 3 mwezi wa 11 nilinunua muda wa maongezi kwa tigopesa wa shilingi 18,000.. Cikupata message kuonyesha kama transaction imefanyika na wala credit haikuingia.. Asubuhi nikajaribu tena kununua muda wa maongezi wa kiaci kile kile cha shs. 18,000.. Nikapata msg kwamba salio langu halitoshi.. Kuangalia salio kwenye tigo pesa nikakuta imebaki minus 18,000.. Nikawapigia tigo na baada ya kuangalia wakasema kweli wameona hela imekatwa toka kwenye akaunti tigo pesa lakini haikuingia kwenye muda wa hewani.. Wakaahidi kulitatua tatizo ndani ya masaa 24 kwa kurudishiwa salio kwenye tigo pesa..
Pamoja na bidii zote za kufuatilia kwa kupiga cimu mara kwa mara na kwenda kwenye kituo cha tigo kulalamika cijalipwa mpaka leo hela yangu..
Naomba members mnisaidie nifanye kitu gani nipate haki yangu.. Au kama kuna member ambae yuko Tigo naomba kusaidiwa mawazo cha kufanya.. Au nipate namba ya ambae anaweza kulitatua hili tatizo..
Shs. 18,000 inaweza kuwa ndogo but ni haki yangu ambayo ciko tayari ipotee..
Pamoja na bidii zote za kufuatilia kwa kupiga cimu mara kwa mara na kwenda kwenye kituo cha tigo kulalamika cijalipwa mpaka leo hela yangu..
Naomba members mnisaidie nifanye kitu gani nipate haki yangu.. Au kama kuna member ambae yuko Tigo naomba kusaidiwa mawazo cha kufanya.. Au nipate namba ya ambae anaweza kulitatua hili tatizo..
Shs. 18,000 inaweza kuwa ndogo but ni haki yangu ambayo ciko tayari ipotee..