Wadau naombeni ushauri wa kubadilisha injini

Davey 2017

Senior Member
Mar 24, 2017
109
133
Wadau naombeni ushauri wa kubadilisha engine, Naomba watoa ushauri wawe wanazijua vizuri engine siyo wagaga gigi koko.

Gari ina Engine ya 1JZ GE kavu

Nafikiria kuitoa na kuweka 1JZ GE yenye vvti ( siyo ya brevis ambazo ni 1JZ FSE na D4)

Ama niweke 1G FE kavu, aina ya Gari ni mark ii.

1JZ GE imetumika kwenye hili gari takriban miaka 7 hivi bila major issue hadi january hii.

Ipi ni bora 1G FE kavu ama 1JZ GE yenye vvti, nabandika photos za injini zote tatu
1jz-ge.jpg
708854s-960.jpg
1g-fe-engine-n-transmission_2.jpg
 
Kwanini sio 1GFE vvti iwe Kavu? Mwendo siku izi ni vvti ndio utapata good consumption.

Kama ni mtu unaetaka more power 1JZ GE is the way to go.
 
Kwanini sio 1GFE vvti iwe Kavu? Mwendo siku izi ni vvti ndio utapata good consumption.

Kama ni mtu unaetaka more power 1JZ GE is the way to go.
Mafundi wanashauri kavu. Sasa hapo ndiyo nikawa sielewei elewi.
 
Back
Top Bottom