chimbulumbulu
Member
- May 29, 2013
- 22
- 21
Naomba msaada namba yangu ya tigo nimejiunga na whatsapp, lakini kuna mtu kwa sasa naye anaitumia na kwangu imefungwa kabisa, inasema inatumiwa na simu nyingine. Mbaya zaidi anaitumiwa kwa udanganyifu na wizi,anawatumia watu sms za kuomba pesa na watu wanampatia,nimelikundua siku nne zilizopita baada ya kuona profile yangu iko picha ambayo sijaiweka mimi