Henry Philip
Senior Member
- Jul 29, 2008
- 113
- 32
Habari za leo wadau; nina mada naomba niwasilishe kwenu ili nipate ushauri wenu. Mimi kama mwanachama na mkereketwa wa CDM/M4C nahitaji kutoa mchango wangu kwa watanzania wenzangu namna ya kusaidia ktk uboreshaji wa chama katika kutangaza harakati za kujikomboa kutoka ktk umaskini, na pia kueneza elimu ya uraia kwani zote mbili (elimu ya uraia na kupambana na umaskini) vinaendana naomba mchango wenu namna gani nzuri zaidi naweza toa mchango wangu kwa watanzania wengi zaidi