EnvyPearl Senior Member Dec 23, 2018 170 351 Jan 24, 2019 #1 Ni njia zipi au dawa ambazo anaweza kutumia mtu anaesumbuliwa na tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara...msaada tafadhali
Ni njia zipi au dawa ambazo anaweza kutumia mtu anaesumbuliwa na tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara...msaada tafadhali
Surya JF-Expert Member Jun 7, 2015 8,378 12,573 Jan 24, 2019 #2 Muache atapike, yoteee Sent using Jamii Forums mobile app
blogspot JF-Expert Member Jan 7, 2017 1,268 1,138 Jan 24, 2019 #3 Kuna majani yanakuota sana sehemu zenye maji yanakua yamesongamna sana madogo madogo.
Chaliifrancisco JF-Expert Member Jan 17, 2015 23,522 70,349 Jan 24, 2019 #4 Ungeweka uzi wako JF Doctor badala ya MMU ingependeza sana.
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 Jan 24, 2019 #5 Ngoja nijifunze kitu kupitia Michango ya WADAU
EnvyPearl Senior Member Dec 23, 2018 170 351 Jan 24, 2019 Thread starter #6 blogspot said: Kuna majani yanakuota sana sehemu zenye maji yanakua yamesongamna sana madogo madogo. Click to expand... Ningepata jina lake au hata kwa picha ningeshukuru sana
blogspot said: Kuna majani yanakuota sana sehemu zenye maji yanakua yamesongamna sana madogo madogo. Click to expand... Ningepata jina lake au hata kwa picha ningeshukuru sana
EnvyPearl Senior Member Dec 23, 2018 170 351 Jan 24, 2019 Thread starter #7 chaliifrancisco said: Ungeweka uzi wako JF Doctor badala ya MMU ingependeza sana. Click to expand... Asante kwa kunielekeza
chaliifrancisco said: Ungeweka uzi wako JF Doctor badala ya MMU ingependeza sana. Click to expand... Asante kwa kunielekeza