Wadau mliobobea kwenye sheria msaada wenu hapa unahitajika

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,584
28,649
Habari za jion.

Hii kesi ya ndugu David Kafulila inanitatiza sana. Kwa nini isikilizwe mahakamani tabora badala ya kigoma? Kwasababu kafulila aligombea ubunge kigoma na uchaguz ukafanyika huko. Ina maana kigoma hamna mahakama na majaji ama hakimu? Kama zipo, tabora Ina uzito gani katika maswala ya sheria hadi isimamie Hii kesi. Nakumbuka sheikh ponda alisafiri kutoka Dar kwenda Moro kusikiliza kesi yake Kwasababu tukio lilitokea Moro.

Swali la nyongeza je hivi bado kafulila ni marafiki wakubwa na zito? Nakumbuka 2010 kwenye kampen zito alimpiga tafu sana dogo hata nakumnunulia magari ya kampen ikaleta hata minongono miongon mwa wanachadema Kwa nini zito amsaidie kafulila ambaye alijivua uanachama chadema na kwenda NCCR? Wanajadema walinongona.

Kwa sasa zito kimya hata kampen ya 2015 alikua mbali na dogo ni nini kimewafanya wawe mbali mbali?

Natanguliza shukrani
 
Habari za jion.

Hii kesi ya ndugu David Kafulila inanitatiza sana. Kwa nini isikilizwe mahakamani tabora badala ya kigoma? Kwasababu kafulila aligombea ubunge kigoma na uchaguz ukafanyika huko. Ina maana kigoma hamna mahakama na majaji ama hakimu? Kama zipo, tabora Ina uzito gani katika maswala ya sheria hadi isimamie Hii kesi. Nakumbuka sheikh ponda alisafiri kutoka Dar kwenda Moro kusikiliza kesi yake Kwasababu tukio lilitokea Moro.

Natanguliza shukrani
Mkuu nilipouona huu uzi wako, ambao mpaka mimi nilipoutembelea ulikuwa umeishatembelewa na watu 75 lakini hakuna aliyechangia hata mmoja, mimi ndio wa kwanza kuchangia. Kilichonifanya nivutiwe na uzi huu, ni kwa sababu umewayliza waliobobea kwenye sheria, humu jf tunawasheria wengi waliobobea na waliufungua uzi wako kwa shauku kubwa wakijua watakutana na hoja za kisheria zinazohitaji kiwango cha ubobezi kuzijibu, walipokuta umeuliza hoja ambazo sio za kisheria, wakadharau na kujisepia zao. Mimi nimejitolea kukujibu japo sio mwanasheria, ila tongo tongo za sheria nilifuta kabla sijadisco pale UDSM.

Tanzania ina mikoa 26 lakini mahakama kuu iko kwenye kanda 15 tuu, hivyo kuna baadhi ya mikoa inahudumiwa na mahakama kuu iliyopo mkoa mwingine.

Uendeshaji wa kesi za mahakama kuu, kuendeshwa kwa vikao kufuatiwa na wingi wa kesi za mahakama kuu, japo Kogoma ni kanda ya mahakama kuu, lakini hakuna jaji aliyepangiwa huko kutokana na uchache wa kesi za mahakama kuu, hivyo ikaonekana ni rahisi kwa Kogoma ambayo ni kanda mpya kuja kanda kongwe ya Tabora., Kesi ipi ni ya mahakama ipi, inaamuliwa na aina ya kesi, eneo, na thamani ya shauri husika, hii inaitwa jurisdiction. Mahakama kuu ndio pekee yenye jurisdiction ya kusikiliza shauri lolote popote kwenye kanda zake.

Kesi ya Ponda ilikuwa sio kesi ya mahakama kuu ila Morogoro haina kanda ya mahakama kuu, Kesi za Moro na Pwani, zinasikiliziwa Dar. Kanda ya Arusha ina mikoa miweili ya Arusha na Manyara. Kanda ya Dodoma pia inahudumia Singida. Kanda ya Mtwara inahudumia na Lindi. Kanda ya Rukwa inahudumia na Songea. Mikoa mingine yote inajitegemea isipokuwa mikoa mipya bado haijapangiwa.

Pasco
 
Mkuu nilipouona huu uzi wako, ambao mpaka mimi nilipoutembelea ulikuwa umeishatembelewa na watu 75 lakini hakuna aliyechangia hata mmoja, mimi ndio wa kwanza kuchangia. Kilichonifanya nivutiwe na uzi huu, ni kwa sababu umewayliza waliobobea kwenye sheria, humu jf tunawasheria wengi waliobobea na waliufungua uzi wako kwa shauku kubwa wakijua watakutana na hoja za kisheria zinazohitaji kiwango cha ubobezi kuzijibu, walipokuta umeuliza hoja ambazo sio za kisheria, wakadharau na kujisepia zao. Mimi nimejitolea kukujibu japo sio mwanasheria, ila tongo tongo za sheria nilifuta kabla sijadisco pale UDSM.

Tanzania ina mikoa 26 lakini mahakama kuu iko kwenye kanda 15 tuu, hivyo kuna baadhi ya mikoa inahudumiwa na mahakama kuu iliyopo mkoa mwingine.

Uendeshaji wa kesi za mahakama kuu, kuendeshwa kwa vikao kufuatiwa na wingi wa kesi za mahakama kuu, japo Kogoma ni kanda ya mahakama kuu, lakini hakuna jaji aliyepangiwa huko kutokana na uchache wa kesi za mahakama kuu, hivyo ikaonekana ni rahisi kwa Kogoma ambayo ni kanda mpya kuja kanda kongwe ya Tabora., Kesi ipi ni ya mahakama ipi, inaamuliwa na aina ya kesi, eneo, na thamani ya shauri husika, hii inaitwa jurisdiction. Mahakama kuu ndio pekee yenye jurisdiction ya kusikiliza shauri lolote popote kwenye kanda zake.

Kesi ya Ponda ilikuwa sio kesi ya mahakama kuu ila Morogoro haina kanda ya mahakama kuu, Kesi za Moro na Pwani, zinasikiliziwa Dar. Kanda ya Arusha ina mikoa miweili ya Arusha na Manyara. Kanda ya Dodoma pia inahudumia Singida. Kanda ya Mtwara inahudumia na Lindi. Kanda ya Rukwa inahudumia na Songea. Mikoa mingine yote inajitegemea isipokuwa mikoa mipya bado haijapangiwa.

Pasco
Genuine Bonafide, nothing less nothing much, Pasco katika ubora wake.
 
Mkuu nilipouona huu uzi wako, ambao mpaka mimi nilipoutembelea ulikuwa umeishatembelewa na watu 75 lakini hakuna aliyechangia hata mmoja, mimi ndio wa kwanza kuchangia. Kilichonifanya nivutiwe na uzi huu, ni kwa sababu umewayliza waliobobea kwenye sheria, humu jf tunawasheria wengi waliobobea na waliufungua uzi wako kwa shauku kubwa wakijua watakutana na hoja za kisheria zinazohitaji kiwango cha ubobezi kuzijibu, walipokuta umeuliza hoja ambazo sio za kisheria, wakadharau na kujisepia zao. Mimi nimejitolea kukujibu japo sio mwanasheria, ila tongo tongo za sheria nilifuta kabla sijadisco pale UDSM.

Tanzania ina mikoa 26 lakini mahakama kuu iko kwenye kanda 15 tuu, hivyo kuna baadhi ya mikoa inahudumiwa na mahakama kuu iliyopo mkoa mwingine.

Uendeshaji wa kesi za mahakama kuu, kuendeshwa kwa vikao kufuatiwa na wingi wa kesi za mahakama kuu, japo Kogoma ni kanda ya mahakama kuu, lakini hakuna jaji aliyepangiwa huko kutokana na uchache wa kesi za mahakama kuu, hivyo ikaonekana ni rahisi kwa Kogoma ambayo ni kanda mpya kuja kanda kongwe ya Tabora., Kesi ipi ni ya mahakama ipi, inaamuliwa na aina ya kesi, eneo, na thamani ya shauri husika, hii inaitwa jurisdiction. Mahakama kuu ndio pekee yenye jurisdiction ya kusikiliza shauri lolote popote kwenye kanda zake.

Kesi ya Ponda ilikuwa sio kesi ya mahakama kuu ila Morogoro haina kanda ya mahakama kuu, Kesi za Moro na Pwani, zinasikiliziwa Dar. Kanda ya Arusha ina mikoa miweili ya Arusha na Manyara. Kanda ya Dodoma pia inahudumia Singida. Kanda ya Mtwara inahudumia na Lindi. Kanda ya Rukwa inahudumia na Songea. Mikoa mingine yote inajitegemea isipokuwa mikoa mipya bado haijapangiwa.

Pasco
udadavuzi mzuri ila hapo kwenye idadi ya mikoa ubadili

asante sana kutusaidia binafsi nilikua sijakatiza kwa huu uzi, hilo la uswahiba ndio ambalo halihitaji ufafanuzi wa kisheria ila kiudaku na akilipeleka FB atapata wachangiaji wengi sana
 
Mkuu nilipouona huu uzi wako, ambao mpaka mimi nilipoutembelea ulikuwa umeishatembelewa na watu 75 lakini hakuna aliyechangia hata mmoja, mimi ndio wa kwanza kuchangia. Kilichonifanya nivutiwe na uzi huu, ni kwa sababu umewayliza waliobobea kwenye sheria, humu jf tunawasheria wengi waliobobea na waliufungua uzi wako kwa shauku kubwa wakijua watakutana na hoja za kisheria zinazohitaji kiwango cha ubobezi kuzijibu, walipokuta umeuliza hoja ambazo sio za kisheria, wakadharau na kujisepia zao. Mimi nimejitolea kukujibu japo sio mwanasheria, ila tongo tongo za sheria nilifuta kabla sijadisco pale UDSM.

Tanzania ina mikoa 26 lakini mahakama kuu iko kwenye kanda 15 tuu, hivyo kuna baadhi ya mikoa inahudumiwa na mahakama kuu iliyopo mkoa mwingine.

Uendeshaji wa kesi za mahakama kuu, kuendeshwa kwa vikao kufuatiwa na wingi wa kesi za mahakama kuu, japo Kogoma ni kanda ya mahakama kuu, lakini hakuna jaji aliyepangiwa huko kutokana na uchache wa kesi za mahakama kuu, hivyo ikaonekana ni rahisi kwa Kogoma ambayo ni kanda mpya kuja kanda kongwe ya Tabora., Kesi ipi ni ya mahakama ipi, inaamuliwa na aina ya kesi, eneo, na thamani ya shauri husika, hii inaitwa jurisdiction. Mahakama kuu ndio pekee yenye jurisdiction ya kusikiliza shauri lolote popote kwenye kanda zake.

Kesi ya Ponda ilikuwa sio kesi ya mahakama kuu ila Morogoro haina kanda ya mahakama kuu, Kesi za Moro na Pwani, zinasikiliziwa Dar. Kanda ya Arusha ina mikoa miweili ya Arusha na Manyara. Kanda ya Dodoma pia inahudumia Singida. Kanda ya Mtwara inahudumia na Lindi. Kanda ya Rukwa inahudumia na Songea. Mikoa mingine yote inajitegemea isipokuwa mikoa mipya bado haijapangiwa.

Pasco
Mkuu nilipouona huu uzi wako, ambao mpaka mimi nilipoutembelea ulikuwa umeishatembelewa na watu 75 lakini hakuna aliyechangia hata mmoja, mimi ndio wa kwanza kuchangia. Kilichonifanya nivutiwe na uzi huu, ni kwa sababu umewayliza waliobobea kwenye sheria, humu jf tunawasheria wengi waliobobea na waliufungua uzi wako kwa shauku kubwa wakijua watakutana na hoja za kisheria zinazohitaji kiwango cha ubobezi kuzijibu, walipokuta umeuliza hoja ambazo sio za kisheria, wakadharau na kujisepia zao. Mimi nimejitolea kukujibu japo sio mwanasheria, ila tongo tongo za sheria nilifuta kabla sijadisco pale UDSM.

Tanzania ina mikoa 26 lakini mahakama kuu iko kwenye kanda 15 tuu, hivyo kuna baadhi ya mikoa inahudumiwa na mahakama kuu iliyopo mkoa mwingine.

Uendeshaji wa kesi za mahakama kuu, kuendeshwa kwa vikao kufuatiwa na wingi wa kesi za mahakama kuu, japo Kogoma ni kanda ya mahakama kuu, lakini hakuna jaji aliyepangiwa huko kutokana na uchache wa kesi za mahakama kuu, hivyo ikaonekana ni rahisi kwa Kogoma ambayo ni kanda mpya kuja kanda kongwe ya Tabora., Kesi ipi ni ya mahakama ipi, inaamuliwa na aina ya kesi, eneo, na thamani ya shauri husika, hii inaitwa jurisdiction. Mahakama kuu ndio pekee yenye jurisdiction ya kusikiliza shauri lolote popote kwenye kanda zake.

Kesi ya Ponda ilikuwa sio kesi ya mahakama kuu ila Morogoro haina kanda ya mahakama kuu, Kesi za Moro na Pwani, zinasikiliziwa Dar. Kanda ya Arusha ina mikoa miweili ya Arusha na Manyara. Kanda ya Dodoma pia inahudumia Singida. Kanda ya Mtwara inahudumia na Lindi. Kanda ya Rukwa inahudumia na Songea. Mikoa mingine yote inajitegemea isipokuwa mikoa mipya bado haijapangiwa.

Pasco
respect bro I really do appreciate your assistance
 
We mlevi wa Mbege na mirungi mbona unakuwaga na maswali ya kitoto km Changu kalewa?
Ovyo sana wewe.
Tayarisheni mapema taratibu za kumuwekea bond ulamaa wenu Ramadhani Dau, wakati wowote anapandishwa kwa pilato Kisutu. Utawala wa kiswahiliswahili mkakutanie huko kwenye misikiti ya msoga na cheka wenu, hapa ndipo utakapozijuwa product za kikatoliki they mean seriousness.
Hapa kazi tu.
 
Pasco kakujibu vyema sana!

Ilitakiwa kila mkoa uwe na Mahakama kuu yake,lkn kwa sababu za kibajeti kuna mikoa fulani haina Mahakama kuu so kama kuna kesi zenye hadhi ya kusikilizwa na Mahakama kuu kama vile hizi za uchaguzi au mauaji huwa zinapelekwa ktk Mahakama kuu zilipo ndani ya kanda ya mikoa husika!

Mara wanasikiliza kesi zao ktk.Mahakama kuu Mwanza,kule Manyara wanakuja Arusha,Mkoa wa Katavi watasikilizia kesi zao Rukwa,mkoa wa Njombe watasikilizia kesi zao Iringa na kuendelea!
 
Leo nimeamka kichwa kinagonga! kinauma! kizungunguzu! mwili umelegea! nimeota mandoto ya ajabu mara napigana, mara nararua vyuma , mara eti mie ndie raisi! sheedah tupu!
 
Tayarisheni mapema taratibu za kumuwekea bond ulamaa wenu Ramadhani Dau, wakati wowote anapandishwa kwa pilato Kisutu. Utawala wa kiswahiliswahili mkakutanie huko kwenye misikiti ya msoga na cheka wenu, hapa ndipo utakapozijuwa product za kikatoliki they mean seriousness.
Hapa kazi tu.
Sasa wewe ulichoandika kinahusiana vipi na mada hii? Hata uliyem-quote hajagusia mambo ya udini. Naona wewe unawachokoza waislam akina kahtaan.
 
kwa taratibu za kesi za uchaguz jaj lazima atoke mkoa mwingine elect pettition ruke 2012
 
Back
Top Bottom