KUDOLE CHA MWISHO
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 407
- 896
Habar wadau
leo nimeenda gengeni kununua nyanya
Mambo yakawa hv!!
Hizo ndo nyanya za jero!!!



leo nimeenda gengeni kununua nyanya
Mambo yakawa hv!!
Hizo ndo nyanya za jero!!!








Siku hizi natunza mifuko, yaani ikichafuka naifua vzr. Kusema ukweli suala la kununua mfuko kila siku linanipa shidaHahaaa hapo bado haujanunua mfuko wa jero.
Mbona ziko poa hizo za MASAROHabar wadau
leo nimeenda gengeni kununua nyanya
Mambo yakawa hv!!
Hizo ndo nyanya za jero!!!View attachment 1144564
Huo ni ushahidi tosha kwamba Wabongo wengi tuna roho mbaya, tena haswa wa huku chini kwa kina kajamba nani...maana hao wa juu huko including Wanasiasa hawaji huku....ulitakiwa uzishike shikeeee.....mara nyingi wanazipaka mafuta zing'aeee....ukizubaa wanakuchanganyia hizoo kwenye nzimaaa....HIYO NI AINA MOJAWAPO YA UPIGAJIIi
aina ya pili ni ile ya kuegesha nyanya/vitunguu/viazi/embe..... kuanzia katikati ya sado hadi juu, we ukifika unakubali faster, kumbe ushapigwaa
pole, next time jitahidi kufumbua machooo
Habar wadau
leo nimeenda gengeni kununua nyanya
Mambo yakawa hv!!
Hizo ndo nyanya za jero!!!View attachment 1144564
Alafu ukute ni Mama lishe, hiyo yote inapigwa kwenye blenda..chuzi shata shata....haitupwi kitu.Habar wadau
leo nimeenda gengeni kununua nyanya
Mambo yakawa hv!!
Hizo ndo nyanya za jero!!!View attachment 1144564
Mmekuwa na akili sana, namuona Mrs anahangaika kuifua na kila akienda sehemu anaweka kwenye mkoba.Siku hizi natunza mifuko, yaani ikichafuka naifua vzr. Kusema ukweli suala la kununua mfuko kila siku linanipa shida
😀😀😀 Imagine mfuko ni 500 hlf km una mzigo mzito ni haifai so wa 1000 utakuhusuMmekuwa na akili sana, namuona Mrs anahangaika kuifua na kila akienda sehemu anaweka kwenye mkoba.