Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
- Thread starter
- #21
mmmh . . . ???
Mie sina ushauri.
Hayo mambo ya kikubwa hata siyasemei!
Bonge wewe! Bonge!
Mkubwa mwenzangu, ukihepa kunishauri haya unasubiri yepi ? Na humu sitowahi kuja na agenda kama vile "mnisaidie maelekezo ya kilimo! Kupanda kwa mistari" au "nyumba inapakwaje rangi" na yafananayo na hayo.
So far we jitoe fahamu ! Na hayo maexpiriensi yako we yavundike tu! Bt refar yatakuozea tu!