Wadada wenye 30+ wanatia huruma

Kwenye mashida haya ndio mnakumbuka kuombewa

Utamu wako wote umekula na shetani, 30+ uombewe!?
 
[emoji120]
 
Nimerud trh 26 mwez huu ktoka uganda, kpnd npo kile nlifikia mji wa Jinja ktk hotel 1 nzur sana, ktk mizunguko yangu nlikutana n mdada 30+ n yy ni mganda pure kbs demu wa maana nbanajiheshm haswa, nlijiuliza nmuingie vp uyu...

Na kizur zaid nae alikua katoka kampala kaja weekend jinja ila yy alifkia hotel nyngne.... Kuna duka la vinyago tulikua wte n kna kasanam kadogo nlikashika nkawa nakatazama kumbe yy nae alikaona akanifata akaomba akashike nkampa...

Akanshukuru n akainunua, kisha akaniomba twende lunch, tukaenda kweny htl alofkia.. Muda wote uo story nyng tu bt lugha ni English n uzur yy kiswahl anakckia ila kuongea shida...

Nikamuonyesha hali ya kumjali + ukaribu wangu kwake, mdada wa watu akaingia kingi akanipa mzgo... Tokea nmerud tz mwanamke ni anansumbua n anataka aje uku nilipo....

Masaa kam mawili yalopita kapiga cm n kanambia nxt week anataka aje tz...

Asee upo sahh mtoa mada, hawa wadada 30+ hawa ni shida, yn ukigusa tu imo
 

[emoji1][emoji1] Ukinyosha kidole tu ameshafikA
 


Wakekukosea nini ndugu dada za watu?
 
Malingo yote Yale ya kipindi kile kumbe bado. .? njoo inbox mamyto bado kasi yangu haijaisha
 
Huu ni ukweli ila kwa busara zangu hua sitaki kuusema kwa kuhofia kuwakwaza dada zangu.

Kiukweli katika umri wa 30+ ukidate na mdada anakua mnyenyekevu mno tena anajali sana, matumaini yake hua ni ndoa lakini kwa bahati mbaya hua mwanaume una mtu mwingine mwenye 20+, kwa kumheshimu mwenye 30+ unamwambia ukweli tu mimi niko occupied lakini wengi hua hawakubali wanahisi akikomaa utamuoa, wengi wana kazi na maisha mazuri ila ndo hivyo wanahitaji ndoa tu.

Wanawake mlioko kwenye 20+ jifunzeni kupitia hii mada, shauri yenu msijekusema hamkuambiwa.
 
binafsi nataka mwanamke wa maendeleo.
Umeshindwa kuendelea ukiwa peke yako unataka kutoka kupitia mwanamke?
bora hata wa miaka 30-35 akili zao zimekuwa za kiutu uzima,
Siyo kwamba akili zimekuwa za kiutu uzima. K imeanza Luganda na kutoa unga badala va ute wa kulainisha njia
wa peke yako unataka kutoka kupita mwanamke?
 
Mkuu umejenga hoja nzuri sana. Kwamba haijalishi ana umri gani. Nimekusoma!
 
Asee upo sahh mtoa mada, hawa wadada 30+ hawa ni shida, yn ukigusa tu imo
Yaani mkuu, wako desperate kuolewa basi wanajirahisi balaa. Wanaume wanaitumia fursa hii vizuri. Wanakula mzigo, wanawadekisha, wanawapa nguo wafue, wanawapika halafu wakiwachoka kuwatumia wanawazingua
 
Sure ndg hii ni point nzur
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…